• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

JAMII YA WAHADZABE WAAHIDI KUJITOKEZA KWA WINGI KUSHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Posted on: September 23rd, 2024

Jamii ya Wahadzabe na Wagatoga ni moja kati ya makabila machache yaliyobaki kote duniani yanayoendeleza utamaduni wa kale, ikiwa ni pamoja na shughuli za uwindaji na maisha ya kula matunda, mizizi na aina mbalimbali za wanyama wa porini kwa miaka zaidi ya elfu 40 hivi sasa wakiishi na wanyama tofauti kabisa na unavyoweza kudhani.

Licha ya kuishi Pembezoni kabisa mwa Mkoa wa Arusha na wilaya ya Karatu, Serikali ya Halmashauri ya Wilaya haijawaacha nyuma katika kuwashirikisha programu na mipango mbalimbali ya kijamii, kidemokrasia pamoja na ushiriki wao kwenye kuamua mambo yao, kuchagua na kuchaguliwa kwenye nafasi mbalimbali za Kiuongozi.

Kilomita zaidi ya 35 kutoka Karatu Mjini, Vilima, vichaka na mabonde, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Ndugu Juma Hokororo, amefika mpaka Kijijini Mang'ola kukutana na Jamii hizi na dhamira kubwa ni kutoa elimu kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa pamoja na kuhamasisha Jamii hizo kuweza kushiriki kwenye mchakato huo muhimu kidemokrasia na kichocheo kikubwa cha maendeleo yao binafsi.

"Nimekuja kuwaambia na kuwahamisha kushiriki kwenye kugombea nafasi mbalimbali za Uongozi. Tungefurahi kuwaona watu wa Jamii hii ya Kihadzabe kwenye nafasi mbalimbali za Uongozi. Twendeni tuhamasishane kugombea na tukachague viongozi wanaotufaa kwa maendeleo ya Mang'ola." Amesema Ndugu Hokororo.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI 2024 May 11, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UANDIKISHAJI WALA KIAPO KARATU

    May 14, 2025
  • DED HOKORORO ASHIRIKI KIKAO CHA ALAT WILAYA YA MERU

    May 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA AWAMU YA TATU WATUA KARAU

    May 12, 2025
  • KARATU WASAPOTIJUHUDI ZA RAIS SAMIA WATANGAZA UTALII WA NDANI

    May 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa