• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa wilaya azungumza na Baraza Madiwani

Posted on: January 28th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Karatu Mhe. Dadi H. Kolimba azungumza na baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu kwenye Mkutano wa Kawaida uliofanyika tarehe 28/01/2022 kwenye ukumbi wa Halmashauri.

Mkuu wa wilaya amezungumzia mambo mbalimbali kama ifuatavyo:-

Mapato

Mkuu wa Wilaya amezungumzia uwepo wa mizani kwenye geti la kukusanyia ushuru wa zao la Vitunguu pia amesisitiza uboreshwaji wa kanzidata ya wafanyabiashara, ufuatiliaji wa leseni za biashara na matumizi ya EFD kwenye  vituo vya Mafuta (petrol station). Aidha amesisitiza swala la ukusanyaji wa mapato ni muhimu sana ili Halmashauri iweze kutekeleza miradi ya maendeleo.

Miradi ya Maendeleo

Amesisitiza usimamizi wa karibu wa miradi ya maendeleo ili miradi iwe na viwango vinavyokubalika amemuelekeza Mkurugenzi Mtendaji kupanga Wahandisi vizuri wasimamie kila hatua ya ujenzi wa miradi ya maendeleo.Amezitaka kamati za ujenzi kusimamia ipasavyo miradi ya ujenzi kupata bei halisi ya vifaa vya ujenzi.

Afya

Mkuu wa Wilaya alimuagiza Mganga Mkuu wa Wilaya kuhakikisha Dawa zinapatikana kwenye vituo vya Afya hii ni baada ya kupata malalamiko kutoka kwa baadhi ya wananchi kuhusu ukosefu wa madawa.

Wafanyabiashara wadogo wadogo (wamachinga)

Mkuu wa wilaya ameelekeza utekelezaji wa maagizo ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuhusu kuwatengea wamachinga maeneo ya kufanyia biashara pia ameshauri kutenga fedha kwenye bajeti lengo ni kuhakikisha wanakuwa na maeneo mazuri ya kufanyia biashara

Elimu

Mkuu wa wilaya ameelekeza ufuatiliaji ufanyike katika zoezi la kuwaandikisha wanafunzi wa kidato cha kwanza ili kuwabaini wale wote watakaoshindwa kuwaandikisha wanafunzi wa kidato cha kwanza kwani miundombinu yote ipo tayari hakuna kisingizio.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • NAFASI ZA KAZI 2024 April 21, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MILIONI 400 ZATOLEWA KARATU, KUJENGA MABWENI NA MADARASA EYASI SEKONDARI

    January 30, 2025
  • WASIMAMIZI WAASWA KUSIMAMIA VIAPO VYAO KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024.

    November 23, 2024
  • JESHI LA AKIBA MKAWE WAZALENDO KWA TAIFA

    November 23, 2024
  • HALMASHAURI YAZINDUA KITABU CHA MPANGO MKAKATI WA UKUSANYAJI MAPATO.

    November 19, 2024
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa