Posted on: March 7th, 2019
Waziri wa ardhi nyumba maendeleo na makazi Mhe. William Lukuvi amefanya ziara wilayani Karatu leo, na kusikiliza kero za wananchi katika uwanja wa Mazingira Bora Karatu. Katika mkutano huo waziri wa a...
Posted on: February 23rd, 2019
Mkuu wa Wilaya ya Karatu Mhe. Theresia Mahongo jana amefanya ziara katika kijiji cha Lositete. Katika ziara hiyo aliambatana na watendaji wa Wilaya, na alifanya mkutano wa hadhara na wananchi na kusik...
Posted on: February 22nd, 2019
Shirika la kikristo la Compassion limefanya semina ya siku tatu juu ya namna kumlinda mtoto juu ya unyanyasaji. Semina hiyo iliyoisha jana katika kanisa la T.A.G Karatu imehusisha wadau wanaojihusisha...