Posted on: January 25th, 2021
Na Tegemeo Kastus
Madawati, Meza na viti vilivyokuwa vimepelekwa kukarabatiwa na matokeo yake kutelekezwa kwa fundi Seremala kwa muda wa miaka miwili bila kufanyiwa matengenezo vyarudishwa shule ya...
Posted on: January 15th, 2021
Wachimbaji na wayeyushaji wa madini ya dhahabu katika kijiji cha Endagemu maarufu kama Samunge wameaswa kutojihusisha na utoroshaji wa madini kwa sababu kufanya hivyo kunasababisha serikali kukosa map...
Posted on: January 12th, 2021
Walimu wakuu na Afisa elimu wametakiwa kujieleza kimaandishi na kuwasilisha maelezo Ofisi ya Rais Tamisemi juu ya kutofautiana kwa gharama za ujenzi wa mabweni katika shule za sekondari Ma...