Posted on: August 28th, 2019
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo ametembelea eneo linalojengwa Hospitali ya wilaya ya karatu kijiji cha Changarawe. Ziara hiyo ililenga kukagua na kujionea hatua za ujenzi wa hospi...
Posted on: August 28th, 2019
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo amefanya ziara katika kituo cha afya kambi ya simba. Mhe Gambo amekagua miundo mbinu ya kituo hicho cha afya pamoja na kuzungumza na wafanyakazi na wananchi wa...
Posted on: August 11th, 2019
Kamati ya siasa ya chama cha mapinduzi imefanya ziara katika Tarafa ya Eyasi na kutembelea miradi mbalimbalimbali ya maendedeleo. Ziara hiyo iliyoingia siku ya pili imetembelea miradi ya elimu na afya...