Posted on: June 12th, 2019
Mwenge wa uhuru umezindua nyumba za walimu pamoja na bweni la wasichana katika shule ya Baray khusumay. Shule hiyo ni moja ya shule 35 za sekondari zilizopo katika wilaya ya Karatu zenye wanafunzi 126...
Posted on: June 12th, 2019
Mradi wa Upendo katika kijiji cha Basodawish umetembelewa na kiongozi wa mbio za mwenge Ndugu Mzee Mkongea Alli. Mbio za mwenge wa uhuru umetoa cheti cha shukrani kwa taasisi ya Food for his chi...
Posted on: June 12th, 2019
Mbio za mwenge wa Uhuru zimetembelea mradi wa kitalu cha miche ya miti Bashay pamoja na kuzindua klabu ya wapinga rushwa shule ya msingi Bashay. Lengo la mradi huo wa miti ni kuikuza miche ya miti na ...