• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

Huduma ya Afya

      MAJUKUMU NA KAZI ZA IDARA YA AFYA

  1. Kuandaa mipango kabambe ya afya ambayo inatilia mkazo mahitaji yote ya afya ya halmashauri kwa kuzingatia mwongozo wa Kitaifa wa Wilaya wa mipango ya afya
  2. Kuhakikisha kuwa hospitali, vituo vya afya na zahanati zinatekeleza shughuli za afya, na jamii inamiliki rasilimali kama inavyoelekeza mpango kabambe wa afya wa halmashauri
  3. Kuhakikisha upatikanaji wa usafiri, dawa muhimu, chanjo, madawa, vifaa vya tiba, vifaa na kemikali za maabara katika hospitali, vituo vya afya na zahanati
  4. Kuwa tayari kukabiliana na magonjwa ya milipuko, maafa na kupanga mipango ya kudhibiti na kuzuia
  5. Kuhakikisha kuwa watumishi wa afya walioko katika ngazi mbalimbali kwenye halmashauri wanapata nyenzo za kuwawezesha kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa shughuli za afya
  6. Kuhakikisha kuwa huduma za afya zitolewazo zinalingana na viwango vya kitaifa.
  7. Kuhakikisha kuwa halmashauri inazingatia na kufuata sheria zilizowekwa, kanuni, maadili ya kitaalamu na mwenendo wa tabia wa viongozi na watumishi
  8. Kuhakikisha kuwa watumishi wa afya wanakusanya takwimu, wanazichambua, wanazitumia katika mipango, wanatekeleza mipango hiyo na wanatoa mrejesho
  9. Kutambua maeneo ya kipaumbele, kusimamia na kufanya utafiti wa utendaji kazi katika halmashauri
  10. Kujumuisha na kuchambua taarifa za utekelezaji na fedha za robo mwaka na kuziwasilisha kwa Bodi ya Afya ya halmashauri na timu ya uendeshaji wa huduma za afya ya mkoa
  11. Kusimamia mikutano ihusuyo wataalamu wa afya wanaotoa huduma za afya kwenye halmashauri ili kuweza kutambua na kuratibu shughuli zote za afya
  12. Kusimamia na kusaidia huduma za afya ambazo zipo nje na zilizoko mbali kutoka vituo vya kutolea huduma za afya (“outreach services”)
  13. Kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa shughuli za afya kwenye halmashauri
  14. Kumshauri Mkurugenzi Mtendaji kuhusu masuala yote ya afya ndani ya Wilaya

Matangazo

  • Wasimamizi, Wasaidizi, na Makarani wa Vituo October 06, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI 2024 May 11, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • RC MAKALLA AISHAURI TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI KUFANYA MAAMUZI KWA MKANDARASI BWAWA LA EYASI.

    September 23, 2025
  • WAKULIMA MANG’OLA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA MRADI WA UMWAGILIAJI

    September 23, 2025
  • WENYE SIFA WATAKIWA KUOMBA MIKOPO HALMASHAURI

    September 24, 2025
  • UKUSANYAJI WA MAPATO UNAZIDI KUONGEZEKA KARATU

    September 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa