• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

WENYE SIFA WATAKIWA KUOMBA MIKOPO HALMASHAURI

Posted on: September 24th, 2025

Wanawake vijana na watu wenye ulemavu wametakiwa kuendelea kujitokeza kuomba mikopo ya asilimia kumi kutoka halmashauri ya wilaya ya karatu.

Wito huo umetolewa na Mkurugenzi mtendaji wa halamashauri ya Wilaya ya Karatu Ndg. Juma Hokororo akizungumza katika kipindi cha lango kuu kupitia lumen radio.

Hokororo amesema kwa mwaka 2024/2025 halmshauri ilitoa zaidi ya Bilioni 1.2 kwajili ya mikopo hiyo ambapo kwa wanawake vikundi 97 walipata milioni 725, Vijana vikundi 46 walipata Milioni 486 na wenye ulemavu vikundi 19 walipata milioni 62.

Amesema halmashauri inaendelea kuweka bidii katika ukusanyaji wa mapato yake ili kuendelea kukuza utoaji wa mikopo hiyo ili wananchi wanufaike nayo kama ilivyo tarajiwa na serikali.

Aidha ametoa wito kwa vikundi vilivyokwisha nufaika kuendelea kutumia fedha hizo kwa lengo lililokusudiwa ili kuweza kurejesha kwa wakati nankuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • TANGAZOLA KUITWA KWENYE USAILI September 04, 2025
  • Tangazo la maombi ya mpiga kura kupiga kura ya Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania katika kituo tofauti na kituo alichojiandikisha September 23, 2025
  • Tangazo la maombi ya mpiga kura kupiga kura ya Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania katika kituo tofauti na kituo alichojiandikisha September 23, 2025
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • RC MAKALLA AISHAURI TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI KUFANYA MAAMUZI KWA MKANDARASI BWAWA LA EYASI.

    September 23, 2025
  • WAKULIMA MANG’OLA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA MRADI WA UMWAGILIAJI

    September 23, 2025
  • WENYE SIFA WATAKIWA KUOMBA MIKOPO HALMASHAURI

    September 24, 2025
  • UKUSANYAJI WA MAPATO UNAZIDI KUONGEZEKA KARATU

    September 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa