• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

COMPASSION, YAFUNGUA MAKTABA YA VITABU

Posted on: March 25th, 2019

Masomo ya computa kwa vituo vinavyoendeshwa na Compassion International kwa kushirikiana na Elim pentekoste Karatu yamefunguliwa leo kwenye kituo cha watoto cha compassion kilichopo karibu na eneo la Tanesco Karatu.

Ndugu Lameck Karanga amesema jambo hilo ni zuri, nchi zilizoendelea zimefika mbali kwa kuwekeza kwa kutumia technolojia ya computa. Amesema serikali watatoa ushirikiano kwa mambo wanayofanya na ameomba jitihada hizo za kuwaendeleza watoto hao kwa mafunzo ya computa ziende mpaka kwenye shughuli za serikali zilizopo karibu. Pamoja na mafunzo hayo pia kituo hicho kimeweka program ya vitabu ambavyo vitawasaidia vijana hao kujisomea.

Mkurugenzi wa kituo cha T.A.G Ndugu Amani Lohay amesema wanashukuru serikali kwa kutambua mchango wao. Amesema mafunzo hayo yatajumuisha wanafunzi 32, kutoka katika vituo vinne ambavyo ni Elim pentekoste ambacho kimetoa wanafunzi 10, Karatu mjini 7, ELCT Oldean 8, na T.AG Bashay 7. Mafunzo hayo ya awali kwa sasa yatadumu kwa muda wa wiki moja.

Ndugu Lohay amesema mafunzo hayo yamelenga kuwajengea wanafunzi tabia ya kusoma vitabu kwa kutumia program maalum inayohifadhi vitabu kwenye computa. Amesema wamedhamiria kuwapanua vijana maarifa kwa kuwaelekeza na kuwafunza program mbalimbali zitakazowasaidia katika maendeleo yao siku za baadae. Mafunzo hayo pia yamelenga kuwajenga wanafunzi  kiroho.

Wanafunzi wakisikiliza kwa makini katika mafunzo ya kutumia computa

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • NAFASI ZA KAZI 2024 April 21, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MILIONI 400 ZATOLEWA KARATU, KUJENGA MABWENI NA MADARASA EYASI SEKONDARI

    January 30, 2025
  • WASIMAMIZI WAASWA KUSIMAMIA VIAPO VYAO KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024.

    November 23, 2024
  • JESHI LA AKIBA MKAWE WAZALENDO KWA TAIFA

    November 23, 2024
  • HALMASHAURI YAZINDUA KITABU CHA MPANGO MKAKATI WA UKUSANYAJI MAPATO.

    November 19, 2024
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa