• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

DED HOKORORO ASHIRIKI KIKAO CHA ALAT WILAYA YA MERU

Posted on: May 15th, 2025

Jumuiya ya Tawala za Mitaa Mkoa wa Arusha (ALAT) imefanya ziara ya Kukagua Miradi ya Maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya Meru na Kupongeza Juhudi za Serikali katika ujenzi na uboreshaji wa Miradi hiyo.

Jumuiya hiyo iliyoongozwa na Mwenyekiti wake Ambae ni Meya wa Jini la Arusha Mhe. Maxmillian Iranghe imetembelea miradi mbalimbali ikiwemo miradi ya Elimu, Afya na Miradi mingine inayotekelezwa kwa Fedha za Ndani ikiwemo Uzio wa Soko.

Akizungumza Mwenyekiti Iranghe Baada ya Ukaguzi wa Miradi ameipongeza Halmashauri ya Meru kwa kusimamia vyema fedha za serikali na kukamilisha miradi hiyo tajika katika jamii.

Kwa Upande wake Katibu wa Jumuiya hiyo ya ALAT Ndg. Juma Hokororo ambae ni Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu kwa niaba ya Jumuiya hiyo amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassn kwa kutoa fedha za kutosha za miradi katika mkoa mzima wa Arusha.

Amesema ni wajibu wao kama wakurugenzi kwa kushirikiana na Wenyeviti wa Halmashauri na madiwani pamoja na viongozi wengine kushikamana na kusimamia miradi hiyo ikamilike na kuhakikisha inatoa huduma husika kwa ubora ulio nuiwa.

Matangazo

  • Wasimamizi, Wasaidizi, na Makarani wa Vituo October 06, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI 2024 May 11, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • RC MAKALLA AISHAURI TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI KUFANYA MAAMUZI KWA MKANDARASI BWAWA LA EYASI.

    September 23, 2025
  • WAKULIMA MANG’OLA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA MRADI WA UMWAGILIAJI

    September 23, 2025
  • WENYE SIFA WATAKIWA KUOMBA MIKOPO HALMASHAURI

    September 24, 2025
  • UKUSANYAJI WA MAPATO UNAZIDI KUONGEZEKA KARATU

    September 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa