• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

ELIMU YA KUWEKEZA YAWACHACHU KWA WANAVIKUNDI

Posted on: June 27th, 2019

Mafunzo ya kuelimisha wawezeshaji ngazi ya wilaya wa vikundi vya kuweka na kuwekeza  yameingia katika hatua nyingine ya ngazi ya kijiji. Wawezeshaji wa ngazi ya taifa kwa kushirikiana na wawezeshaji wa Tassaf ngazi ya wilaya wamefanya mafunzo katika vijiji vya Endala na Baray Khusumay, juu ya namna bora za kuendesha vikundi vya kuweka na kuwekeza.

Muwezeshaji ngazi ya wilaya Ndugu Didas Mkumbwa amesema mafunzo yalilenga kuwaelimisha namna bora yakuendesha vikundi vya kuweka na kuwekeza. Amesema mafunzo ya darasani ya siku tatu  na kutembelea vikundi hivyo ilikuwa sehemu ya mafunzo kwa vitendo. Ndugu Didas amesema wamewaelimisha wanavikundi namna bora ya kuweka kumbukumbu katika uwekaji wa fedha namna ya kukopa na kuhakikisha wanawekeza vizuri ili wanakikundi waweze kuinua kipato chao.

Ndugu Didas amesema katika mafunzo hayo kwa wanavikundi wamebaini vikundi vilikuwa vina changamoto ya kutofuata katiba waliyojiwekea kwenye kikundi.  Ndugu Didas amesema kuna changamoto ya wanunafaika wa mkopo kuongezea mkopo kabla hajamaliza mkopo wa awali jambo ambalo linamuongezea mkopaji ugumu wa kulipa mkopo kwa wakati. Ndugu Didas amesema wamebaini katika vikundi vilivyopewa elimu kuna tatizo la kuchanganya fedha za mapato na matumizi kwa pamoja jambo ambalo linafanya fedha zionekane nyingi kuliko uhalisia wenyewe na linaleta ugumu katika uwekaji wa kumbukumbu katika vitabu. Ndugu Didas amesema changamoto hizo zinatatulika kwa kuwapa elimu wana vikundi juu ya njia bora za kuweka na kuwekeza. 

Mwanakikundi Fausta Joseph wa Endala amesema walikua hawafahamu namna ya kuweka hisa na kuweka kumbukumbu katika kitabu. Bi Fausta amesema kupitia mafunzo hayo wameweza kufahamu maana ya hisa kwamba ni kitu cha kikundi  na haikopeshi na akiba ndio wanakikundi wanatumia kukopeshana. Wamefurahi sana Tassaf kwa kuwapa elimu hiyo ya vikundi na wameomba  Tassaf waendelee kuwashika mkono ili waweze kufikia malengo.

Wanavikundi wakipewa elimu ya kuweka na kuwekeza

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • NAFASI ZA KAZI 2024 April 21, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MILIONI 400 ZATOLEWA KARATU, KUJENGA MABWENI NA MADARASA EYASI SEKONDARI

    January 30, 2025
  • WASIMAMIZI WAASWA KUSIMAMIA VIAPO VYAO KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024.

    November 23, 2024
  • JESHI LA AKIBA MKAWE WAZALENDO KWA TAIFA

    November 23, 2024
  • HALMASHAURI YAZINDUA KITABU CHA MPANGO MKAKATI WA UKUSANYAJI MAPATO.

    November 19, 2024
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa