• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

ENDESH YAPATA HATI MILIKI YA KIMILA

Posted on: December 19th, 2018

Na Tegemeo Kastus

Kijiji cha Endesh kata ya Baray jana kimepata hati miliki ya kimila baada ya zoezi la kupanga matumizi bora ya ardhi kukamilika kwa kushirikiana na (UCRT ) Ujamaa community resource  team. Kijiji kimepewa hati no 22/KRT/ 1 na mgeni rasmi katika sherehe hiyo ya kukabidhi hati ya kimila ya kijiji cha Endesh alikuwa Mheshimiwa Theresia Mahongo  Mkuu wa wilaya ya Karatu.

Mheshimiwa Theresia amewapongeza UCCRT kwa msaada wao amewaomba waendelee na mpango wa kupanga matumizi bora ya ardhi. Mpango wa matumizi bora ya ardhi ni mpango mzuri amewaomba watu wanaopotosha zoezi hilo waache. Mheshimiwa Theresia amesema mpango wa matumizi ya ardhi ni mpango wa serikali, Mheshimiwa Theresia Mahongo amempongeza Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt, John Pombe Magufuli kwa  kukubalina na mpango wa matumizi bora ya ardhi. Mpango huu wa matumizi bora ya ardhi utasaidia kuondoa migogoro ya ardhi. Mheshimiwa Theresia amesema katika kijiji cha Endesh wametenga nusu ya eneo kwa ajili ya malisho ya mifugo.

Mheshimiwa Theresia amesema jumapili iliyopita alizindua uogeshaji wa mifugo, amemuelekeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri kujenga josho kwa kushirikiana na wafugaji katika kijiji cha Endesh. Amesema anataka wafugaji wafuge kisasa na  mifugo iwe na afya bora. Mheshimiwa Theresia amesema mifugo inakosa soko kwa sababu inakuwa haina hali nzuri ya kiafya. Mheshimiwa Theresia amewaomba wafugaji waache kukwepa kulipa ushuru na kodi mbalimbali kwenye minada. Amesisitiza hakuna nchi itajengwa bila wananchi kujenga tabia ya kulipa kodi, amewaomba wananchi kushirikiana katika kujenga Tanzania

Mheshimiwa Theresia amehimiza wananchi kupeleka watoto shule, amesema shule ya Endesh ipo katika shule kumi zilizofanya vibaya. Dunia ya leo ni elimu, hata kama ni mfugaji utafuga vizuri kama utakuwa na elimu. Mheshimiwa Theresia amesema hatakubaliana na mzazi atakayeshindwa kumpeleka mtoto shule. Amesema amechoka kuona Endesh wanashika nafasi ya mwisho kila mwaka.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI 2024 May 11, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UANDIKISHAJI WALA KIAPO KARATU

    May 14, 2025
  • DED HOKORORO ASHIRIKI KIKAO CHA ALAT WILAYA YA MERU

    May 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA AWAMU YA TATU WATUA KARAU

    May 12, 2025
  • KARATU WASAPOTIJUHUDI ZA RAIS SAMIA WATANGAZA UTALII WA NDANI

    May 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa