• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI MBIONI KUFANYA MNADA WA MAGARI

Posted on: May 15th, 2019

Halmashauri  ya wilaya ya Karatu intarajia kufanya mnada wa hadhara wa magari  Makuukuu siku ya 25/5/2019. Mnada huo umetangazwa na Majembe Auction Mart na wanatarajia kuuza pikipiki na Mashine inayosaidia kuvuna mazao.

Magari ambayo yanayotarajiwa kuuzwa ni pamoja na gari yenye usajili wa no SM 8008 LANDROVE PUMA ambayo haitembei. Gari yenye usajili wa no. SM 6354 LANDROVER 110SW ambayo haitembei.Gari yenye usajili wa no. T 800 QLN ISUZU TIPPER TON 7 D/INJECTION ambalo halitembei. Gari lenye usajili wa no. SM 21396 ISUZU FIRST TIPPPER ambalo nalo halitembei.

Kuna pikipiki ambazo zitauzwa katika mnada wa hadhara, moja ya pikipiki hizo inausajili wa no. SM 3616 YAMAHA AG 125 ambayo inatembea. Pikipiki yenye usajili wa no. SM 5718 YAMAHA DT 125 ambayo inatembea. Kuna pikipiki aina ya YAMAHA AG 125 ambayo inatembea. Lakini pia kuna mashine yenye no. CW5602 COMBINE HARVEST FIAT AGR ambayo inatembea.

Masharti ya mnada huo mteja ataruhusiwa kukagua siku mbili kabla ya mnada, mnunuzi atatakiwa  kulipa  25% ya bei iliyofikiwa kwenye mnada au zaidi na salio la 75% litalipwa ndani ya siku kumi na nne. Endapo mshindi atashindwa kulipa  salio la75% ya manunuzi kwa muda uliotolewa atakuwa amepoteza  haki yake na mali yake itauzwa tena.

Afisa manunuzi na Ugavi wa wilaya Ndugu Modestus Kasitila amesema bei za bidhaa hizo ni siri na taratibu za kuuza bidhaa zimefuatwa. Mnaada utafanyika katika ofisi za Halmashauri ambazo magari hayo yameweka hivyo ni vyema wateja waje kuona ili wajiridhishe. Amesema wao kama wadau wanataka mtu kununua kitu chenye uhalisia, mathalani kwenye malori amesema licha ya kusema halitembei mteja anaweza kunufaika kwa kupata bodi ambayo anaweza kuweka injini mpya na kuendelea kufanya kazi.

Ndugu Kasitila amesema magari kama Landrover zinazouzwa, zinaweza kufanyiwa ubunifu wa body za landrover. Amesema  mathalani   kama unataka kuchukua body kwa ajili ya magari ya utalii, unaweza kuongezea viti na likafanya kazi vizuri. Kuna watu tayari wameshaonesha muelekeo wa kutaka kuyanunua magari hayo. Ndugu Kasitila amesema mashine bado inahali nzuri na itakuwa msaada mkubwa kwa mteja atakaye inunua. Amesema hali za pikipiki ni nzuri zinahitaji matengenezo madogo madogo tuu.


Moja ya magari yatakayouzwa siku ya mnada

Moja ya mashine ya kuvuna itakayouzwa siku ya mnada


Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • NAFASI ZA KAZI 2024 April 21, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MILIONI 400 ZATOLEWA KARATU, KUJENGA MABWENI NA MADARASA EYASI SEKONDARI

    January 30, 2025
  • WASIMAMIZI WAASWA KUSIMAMIA VIAPO VYAO KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024.

    November 23, 2024
  • JESHI LA AKIBA MKAWE WAZALENDO KWA TAIFA

    November 23, 2024
  • HALMASHAURI YAZINDUA KITABU CHA MPANGO MKAKATI WA UKUSANYAJI MAPATO.

    November 19, 2024
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa