• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YAZINDUA KITABU CHA MPANGO MKAKATI WA UKUSANYAJI MAPATO.

Posted on: November 19th, 2024

Mkuu wilaya ya Karatu ndugu. Dadi Horace Kolimba amezindua kitabu cha taarifa ya ushauri elekezi kuhusu mpango mkakati wa miaka mitano wa kuongeza mapato ya halmashauri hiyo kuanzia mwaka 2023 hadi 2028 huku akipongeza watendaji na madiwani wa halmashauri hiyo kuja na mkakati huo.

Mhe Dadi Kolimba ameyasema hayo katika kikao cha baraza la madiwani wakati wa uzinduzi wa kitabu hicho cha taarifa ya ushauri elekezi kuhusu mpango mkakati wa miaka mitano wa halmashauri ya wilaya ya Karatu kuongeza mapato huku akiwapongeza watumishi na madiwani kubuni kitabu hicho kwani kitaenda kubadilisha hali za wananchi wa Wilaya hiyo.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Karatu ndugu Juma Hokororo kwa niaba ya watumishi na madiwani wa halmashauri hiyo amewashukuru wataalam hao walioandaa mpango huo kutoka taasisi ya uhasibu Tanzania kwa mchango wao mkubwa katika kuinua mapato ya halmashauri hiyo

Kwa upande wake mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Karatu dokta John Lucian Mahu amesema wataalam hao watasaidia kukuza mapato ya halmashauri hiyo hasa katika sekta ya utalii na kilimo cha vitunguu katika bonde la Eyasi.

Hata hivyo, Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Wamekiri kuwa kitabu hicho kitakua kiongozi katika kutambua namna bora ya kukusanya mapato katika Halmashauri hasa katika yale maeneo ambayo hawajawai kukusanya mapato au hata yale wanayo kusanya wataboresha zaidi.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • NAFASI ZA KAZI 2024 April 21, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UANDIKISHAJI WALA KIAPO KARATU

    May 14, 2025
  • DED HOKORORO ASHIRIKI KIKAO CHA ALAT WILAYA YA MERU

    May 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA AWAMU YA TATU WATUA KARAU

    May 12, 2025
  • KARATU WASAPOTIJUHUDI ZA RAIS SAMIA WATANGAZA UTALII WA NDANI

    May 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa