• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

JESHI LA AKIBA MKAWE WAZALENDO KWA TAIFA

Posted on: November 23rd, 2024

Wahitimu wa Jeshi la Akiba Katika wilaya ya Karatu Mkoani Arusha wanetakiwa kuwa mstari wa mbele kuendeleza uzalendo na ukakamavu wanapotekeleza Majukumu yao ya kila siku baada ya kuhitimu mafunzo hayo.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya na Mwenyekiti wa kamati ya Usalama wilaya ya Karatu Mhe. Dadi H. Kolimba akifunga Mafunzo ya Jeshi hilo la akiba ngazi ya Wilaya ambapo amewarai kuendeleza uzalendo na kukemea vitendo vyote vya kihalifu katika jamii.

Amewataka kuheshimu viapo vyao na kushiriki katika shuguli za kijamii ili jamii itambue mchango wao na kujenga imani itakayo saidia kuimarisha ushirikiano kati ya jamii na vyombo vya usalama.

Aidha amewataka kutumia ukakamavu wao kufanya kazi kwa bidii zitakazo waingizia kipato huku akiwaelekeza kuunda vikundi na kubuni miradi ili kupata mikopo kupitia Halmashauri.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya karatu Ndg. Juma Hokororo akizungumza katika hafla hiyo amesema Halmashauri itaendelea kushirikiana na ofisi ya mkuu wa wilaya ili kuhakikisha vijana hao wanapata kipaumbele cha ajira Halmashauri.

Amesema Halmashauri itaendelea kutenga kiasi cha fedha kupitia mapato ya ndani kila mwaka kuunga mkono kufanikisha mafunzo ya jeshi la akiba kwa kuchangia baadhi ya mahitaji Muhimu ikiwemo Sare.

Akieleza historia ya Kamandi hiyo iliyo hitimu Mshauri wa Jeshi la Akiba Wilaya ya Karatu SA. Komba amesema kati ya vijana 140 walioanza mafunzo hayo ni vijana 89 pekee ndio waliofanikiwa kuhitimu Mafunzo hayo wakiwemo 16 wa kike na 73 wa kiume.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • NAFASI ZA KAZI 2024 April 21, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UANDIKISHAJI WALA KIAPO KARATU

    May 14, 2025
  • DED HOKORORO ASHIRIKI KIKAO CHA ALAT WILAYA YA MERU

    May 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA AWAMU YA TATU WATUA KARAU

    May 12, 2025
  • KARATU WASAPOTIJUHUDI ZA RAIS SAMIA WATANGAZA UTALII WA NDANI

    May 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa