• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

KARATU: IMEFANIKIWA KUDHIBITI WIMBI LA WATOTO WA MTAANI

Posted on: June 17th, 2019

 Sherehe za mtoto wa Afrika zimefanyika katika viwanja vya shule ya msingi Endabsah.  Watoto zaidi ya elfu moja walijumuika kwa pamoja na kuadhimisha siku ambayo kwa ngazi ya wilaya ilifanyika katika Tarafa ya Endabash.

Afisa ustawi wa jamii wa wilaya Abdala Nyange amesema karatu imetengeneza mabaraza ya watoto 28 yameundwa pamoja  na kamati ya ulinzi wa mtoto katika vijiji 41. Karatu ina makao ya watoto 8 yanayohudumia watoto 404. Makao hayo yanawapa watoto huduma za msingi kama  chakula makazi shule na malazi pamoja na mahitaji mengine ya kiutu. Ndugu Abdala amesema wilaya ya Karatu imekomesha watoto wa mtaani kwa kufanya operesheni tatu. Jumla ya watoto 89 wamerudishwa katika familia zao na wengine kuunganishwa katika elimu ya watu wazima katika kituo cha Mwema. Amesema kulikuwa kuna watoto wanaingia mtaani mchana na kulikuwa na watoto wanaingia mtaani usiku lakini hali hiyo kwa sasa haipo wilayani Karatu.


Watoto wakifurahia jambo wakati wa sherehe za siku ya mtoto wa Afrika.


Wilaya ya karatu haina tishio la watoto wa mtaani, watoto wengi wameunganisha na huduma za elimu. Ndugu Abdala amesema  wananchi wameelimishwa na kupokea elimu iliyosaidia kuondoa adhaa ya watoto wa mtaani. Ndugu Abdala Nyange amesema hiyo ni hatua kubwa sana wameipiga kama wilaya.ametoa rai kwa wananchi kuendelea kuwalinda watoto ili waje nao kuwalinda na kuwatunza wazazi.

 Awali katika risala ya watoto iliyosomwa Monica Mrema, watoto wamempongeza Rais wa jamhuri ya Mungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli kwa kutoa elimu bure kuanzia elimu ya msingi mpaka sekondari. Watoto wameshukuru na jitihada zinazofanywa na Halmashauri kuwaondoa watoto katika ajira hatarishi na kuzuia watoto wa mitaani. Watumiwa wa ubakaji kuwajibishwa na wazazi kuwajibisha kwa kushindwa kuwapatia watoto mahitaji ya msingi.

Watoto wakiwa wamebeba bango lao katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa afrika

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • NAFASI ZA KAZI 2024 April 21, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MILIONI 400 ZATOLEWA KARATU, KUJENGA MABWENI NA MADARASA EYASI SEKONDARI

    January 30, 2025
  • WASIMAMIZI WAASWA KUSIMAMIA VIAPO VYAO KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024.

    November 23, 2024
  • JESHI LA AKIBA MKAWE WAZALENDO KWA TAIFA

    November 23, 2024
  • HALMASHAURI YAZINDUA KITABU CHA MPANGO MKAKATI WA UKUSANYAJI MAPATO.

    November 19, 2024
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa