• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

KARATU KUWA YA KIJANI

Posted on: February 5th, 2022

Mkuu wa wilaya ya Karatu Mhe. Dadi H. Kolimba amezindua Kampeni ya upandaji miti  katika shule ya msingi Simba Milima iliyoko kijiji cha Doffa  kata ya Qurus. Mkuu wa wilaya ameishukuru sana wakala wa misitu Tanzania(TFS) na wadau wengine waliojitoa kuhakikisha zoezi hilo linafanikiwa. Wilaya ya Karatu  mwaka huu inatarajia kupanda miti 2,000,000 ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya chana cha Mapinduzi CCM.

Katika zoezi hilo jumla ya miti 1,000 ilipandwa ,amewataka  wananchi zoezi hilo kulifanya kuwa endelevu  ili kukabiliana na tabia Nchi. Pia amemuelekeza Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ,Afisa misitu na Afisa Mazingira kuendeleza mkakati iliyokuwepo ya kuendeleza kutoa elimu ya upandaji miti kwa wananchi.

Zoezi la upandaji miti Mkuu wa Wilaya  alisema litakuwa likifanyika kila baada ya miezi mitatu lengo ni kuendeleza utunzaji wa mazingira.

Mkuu wa wilaya ameutaka uongozi wa kijiji cha Doffa kutenga njia maalum ya kupitishia mifugo na kupanda miti hasa kwenye makorongo ili kuzuia mmomonyoka wa aridhi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI February 23, 2022
  • ORODHA YA WAOMBAJI WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA MCHUJO WA PILI KAZI YA ANWANI ZA MAKAZI March 10, 2022
  • Tangazo la kazi ya muda February 16, 2022
  • UWEKEZAJI KATIKA KIWANJA AMBACHO MAGARI YA WATALII YANAKAGULIWA BASHAY October 01, 2021
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • KARATU KUWA YA KIJANI

    February 05, 2022
  • Mkuu wa Wilaya azungumza na Baraza la madiwani

    January 28, 2022
  • Mkuu wa Wilaya azungumza na Baraza la madiwani

    January 28, 2022
  • Mkuu wa Wilaya azungumza na Baraza la madiwani

    January 28, 2022
  • Angalia Zote

Video

NDUGU. EDWARD MAURA MWENYEKITI WA BARAZA LA WAFUGAJI NGORONGORO
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754266833

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa