• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

KARATU KUWA YA KIJANI

Posted on: February 5th, 2022

Mkuu wa wilaya ya Karatu Mhe. Dadi H. Kolimba amezindua Kampeni ya upandaji miti  katika shule ya msingi Simba Milima iliyoko kijiji cha Doffa  kata ya Qurus. Mkuu wa wilaya ameishukuru sana wakala wa misitu Tanzania(TFS) na wadau wengine waliojitoa kuhakikisha zoezi hilo linafanikiwa. Wilaya ya Karatu  mwaka huu inatarajia kupanda miti 2,000,000 ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya chana cha Mapinduzi CCM.

Katika zoezi hilo jumla ya miti 1,000 ilipandwa ,amewataka  wananchi zoezi hilo kulifanya kuwa endelevu  ili kukabiliana na tabia Nchi. Pia amemuelekeza Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ,Afisa misitu na Afisa Mazingira kuendeleza mkakati iliyokuwepo ya kuendeleza kutoa elimu ya upandaji miti kwa wananchi.

Zoezi la upandaji miti Mkuu wa Wilaya  alisema litakuwa likifanyika kila baada ya miezi mitatu lengo ni kuendeleza utunzaji wa mazingira.

Mkuu wa wilaya ameutaka uongozi wa kijiji cha Doffa kutenga njia maalum ya kupitishia mifugo na kupanda miti hasa kwenye makorongo ili kuzuia mmomonyoka wa aridhi.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • NAFASI ZA KAZI 2024 April 21, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MILIONI 400 ZATOLEWA KARATU, KUJENGA MABWENI NA MADARASA EYASI SEKONDARI

    January 30, 2025
  • WASIMAMIZI WAASWA KUSIMAMIA VIAPO VYAO KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024.

    November 23, 2024
  • JESHI LA AKIBA MKAWE WAZALENDO KWA TAIFA

    November 23, 2024
  • HALMASHAURI YAZINDUA KITABU CHA MPANGO MKAKATI WA UKUSANYAJI MAPATO.

    November 19, 2024
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa