• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

KARATU WASAPOTIJUHUDI ZA RAIS SAMIA WATANGAZA UTALII WA NDANI

Posted on: May 11th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Ndg. Juma Hokororo Amewaongoza watumishi wa Halmashauri kutembelea hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro ilio jirani na Wilaya hiyo.

Akizungumza Hokororo amesema kufanya hivyo ni kuunga mkono Juhudi za serikali yq Jamahuri ya Muungano wa Tanzania kuutangaza utalii wa ndani kwa kutembelea vivutio vilivyoko Karibu (TANZANIA THE ROYAL TOUR)

Ameitaja karatu kuwa njiapanda ya utalii nchini Tanzania kwani ni njiaa kuu ya kufika katika hifadhi kubwa tanzania ikiwemo ngorongoro na Serengeti hivyo kwa kutambua hilo halmashauri inazii kuweka bidii ili kunufaika na utalii huo.

Aidha amemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda kwa kuendelea kubuni kampeni zinazo tangaza utalii jambo ambalo linawanufaisha wananchi wote mpaka walio na kipato cha chini.

Watumishi hao wa Halmashuri ya Wilaya ya Karatu wamejichanga kwa pamoja kutembelea hifadhi hiyo ya ngorongoro huku wakitaja kuwa ni mwanzo wa kutembelea vivutio vingine zaidi ndani ya tanzania.

Hata hivyo wamemshukuru Mkurugenzi kwa kuandaa na kuhamasisha zoezi hilo kwani limekua na matokeo chanya kwako kama kujenga umoja,Ushirikiano na mawasiliano mazuri baina yao.


Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • TANGAZOLA KUITWA KWENYE USAILI September 04, 2025
  • Tangazo la maombi ya mpiga kura kupiga kura ya Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania katika kituo tofauti na kituo alichojiandikisha September 23, 2025
  • Tangazo la maombi ya mpiga kura kupiga kura ya Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania katika kituo tofauti na kituo alichojiandikisha September 23, 2025
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • RC MAKALLA AISHAURI TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI KUFANYA MAAMUZI KWA MKANDARASI BWAWA LA EYASI.

    September 23, 2025
  • WAKULIMA MANG’OLA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA MRADI WA UMWAGILIAJI

    September 23, 2025
  • WENYE SIFA WATAKIWA KUOMBA MIKOPO HALMASHAURI

    September 24, 2025
  • UKUSANYAJI WA MAPATO UNAZIDI KUONGEZEKA KARATU

    September 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa