• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

KARATU YATANGAZA RASMI UGAWAJI WA MIKOPO

Posted on: November 18th, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Karatu imetenga zaidi ya Shilingi Bilioni Moja na Milioni Mia Moja kwa robo ya kwanza ya Mwaka 2024/25 makusanyo pamoja na marejesho kwa vikundi vya wanawake vijana na watu wenye ulemavu.

Takwimu hizo zimetolewa na Bi Flora Samwel Afisa Maendeleo Wilaya ya Karatu Mbele ya Mkuu wa wilaya ya Karatu wakati wa uzinduzi rasmi wa zoezi la Utoaji mikopo kwa Vikundi vya wanawake na Watu Mwenye Ulemavu.

Dadi Horis Kolimba Mkuu wa Wilaya ya Karatu Akizindua Zoezi hilo amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Karatu kwa Kufanikiwa kukusanya kiasi hicho cha fedha kutoka mapato ya ndani ambacho amekitaja kuwa kiasi cha kutosha kwa robo hii ya Mwaka.

Aidha amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Kurejesha Zoezi hilo lililo sitishwa kwa maboresho ambapo amesema ni wakati wa vikundi hivyo kunufaika kupitia mradi huo wa mikopo.


Kwa Upande wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Karatu Ndg Juma Hokororo amesema Kwa hatua hii ya awali wametoa Milioni mia mbili na laki tano ambapo vikundi kumi viliomba na kukidhi vigezo, vikundi tisa vilipata shilingi Milioni mia moja na Sabini na laki tano na kikundi cha vijana  kimepewa shilingi milioni 30.


Hata hivyo, Vikundi vingine vinaendelea kujisajili kuomba mkopo kwajili ya kuimarisha miradi yao.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • NAFASI ZA KAZI 2024 April 21, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UANDIKISHAJI WALA KIAPO KARATU

    May 14, 2025
  • DED HOKORORO ASHIRIKI KIKAO CHA ALAT WILAYA YA MERU

    May 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA AWAMU YA TATU WATUA KARAU

    May 12, 2025
  • KARATU WASAPOTIJUHUDI ZA RAIS SAMIA WATANGAZA UTALII WA NDANI

    May 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa