• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

KUTOPANGWA BAJETI, KWAWEKA JENGO LA ZAHANATI MWONGO

Posted on: August 10th, 2019

Kamati ya siasa ya chama cha mapinduzi imetembelea jengo la zahanati kijiji cha Kainam Rhotia kujionea hali ya ujenzi wa jengo la zahanati. Jengo hilo la zahanati lililoanza kujengwa takriban miaka kumi na mbili iliyopita bado liko katika hatua ya umaliziaji.

Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ndugu Lucian Akonnay amesema lengo la ziara yao ni kuona sera zao za chama zinatekelezwa kwa vitendo. Amesema wameona jengo la zahanati hiyo limekwama muda mrefu jambo linaloleta adhaa kwa wananchi kutembea umbali wa km 7 kufuata matibabu kijiji cha Rhotia kati.

Ndugu Waziri Mourice amesema Halmashauri imetenga kiasi cha shilingi million 10 katika  kukamilisha ujenzi wa zahanati. Amesema kulikuwa kuna shida ya kupanga bajeti miaka  ya nyuma  kwa ajili ya ujenzi wa zahanati hiyo kijiji cha Kainam Rhotia.  Ndugu Waziri Mourice amesema watatumia vifaa vilivyobakia kuweka madirisha na kuweka sakafu katika jengo la zahanati. Ujenzi wa ukamilishaji wa jengo la zahanati, utaanza mapema kabla ya robo ya pili ya mwaka haijaanza.

Katika taarifa hiyo afisa mtendaji Nyakangara  Mbogo amesema ili jengo hilo limalizwe na kutumika linahitaji kiasi cha shilingi   million 52 na laki tano. Jengo lina ukubwa wa vyumba 16 katika ujenzi huo Halmashauri ilitoa kiasi cha shilingi million 28 na wananchi walishiriki kukusanya mawe kuchimba msingi na kugonga kokoto. Ndugu Mbogo amesema vifaa vilivyobaki na vinavyotarajiwa kutumika kumalizia ujenzi wa zahanati ni bati 49  geji 28, mbao 120 grill za madirisha zipo 16 vifaa hivyo vipo kwenye ofisi ya kijiji. Ofisi ya kijiji imeandaa mkakati wa kushirikisha wanakijiji kuchangia mwaka huu wa fedha kiasi cha shilling cha elfu 20  kuchangia ujenzi wa zahanati,  kijiji kina kaya 670  hivyo kutarajia kukusanya kiasi cha fedha Million 13 na lakin nne.

Benadicto John mkazi wa Kainam Rhotia anasema wanapata adhaa kubwa ya kupata huduma za afya. Ameiomba serikali kuharakisha kukamilishwa ujenzi wa jengo la zahanati katika kijiji hicho. Amesema wakinama wajawazito wanaathrika zaidi kwa umbali wanaotembea kupata huduma za afya na mara nyingine kupoteza maisha.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • NAFASI ZA KAZI 2024 April 21, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MILIONI 400 ZATOLEWA KARATU, KUJENGA MABWENI NA MADARASA EYASI SEKONDARI

    January 30, 2025
  • WASIMAMIZI WAASWA KUSIMAMIA VIAPO VYAO KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024.

    November 23, 2024
  • JESHI LA AKIBA MKAWE WAZALENDO KWA TAIFA

    November 23, 2024
  • HALMASHAURI YAZINDUA KITABU CHA MPANGO MKAKATI WA UKUSANYAJI MAPATO.

    November 19, 2024
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa