• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA UHURU WA TANGANYIKA

Posted on: December 9th, 2022

Wadau mbalimbali wa maendeleo pamoja na wananchi  wilaya Karatu leo wameungana na ziongozi wa wilaya kupanda Miche ya miti katika eneo la hospitali ya wilaya kuelekea maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru wa Tanganyika.


Zoezi hilo limeongozwa na mkuu wa wilaya hiyo Mhe: Dadi Kolimba pamoja na mkurugenzi wa halmashauri Ndugu Karia Magaro   limehudhuriwa pia na watumishi wa halmashauri ambapo waliweza kupanda Miche ya miti zaidi ya 500 katika eneo la hospitali hiyo.


Akizungumza na wananchi na wadau mkuu huyo wa wilaya aliwataka wananchi kuwa wazalendo katika katika kuyaenzi viongozi waliopigania Uhuru nchi hii.


Alimwagiza mkurugenzi kuhakikisha mazingira ya hospitali hiyo yanakuwa na muonekano mzuri  kwa kutunza miti waliyopanda leo kwani  Ni Jambo la kujivunia wilaya kuwa na hospitali ya wilaya ambapo tangu kuanzishwa kwake haikuwa na hospitali.

"Mkurugenzi  nakuagiza hakikisha Miti tuliyopanda Leo ya kivuli  na matunda  inakuwa na uangalizi mzuri wa kukua  ili kupambana na mabadiliko ya tabia ya nchi , pia itakuwa na faida ya kupata matunda."alisema Kolimba.

Kwa upande wake mkurugenzi mtendaji wa halmshauri  hiyo Karia Magaro aliwashukuru wananchi pamoja na wadau walioshiriki katika zoezi hilo ambapo aliwahakikishia Miche hiyo inakua na mandhari mazuri ya hospitali hiyo.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI 2024 May 11, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UANDIKISHAJI WALA KIAPO KARATU

    May 14, 2025
  • DED HOKORORO ASHIRIKI KIKAO CHA ALAT WILAYA YA MERU

    May 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA AWAMU YA TATU WATUA KARAU

    May 12, 2025
  • KARATU WASAPOTIJUHUDI ZA RAIS SAMIA WATANGAZA UTALII WA NDANI

    May 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa