• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA VIJINI YALETA MATOKEO CHANYA KARATU

Posted on: August 30th, 2025

Wilaya ya Karatu ni miongoni mwa Wilaya zilizo nufaika kupitia maadhimisho ya siku ya lishe na Afya ngazi ya kijiji/mtaa.

Hayo yameelezwa na Katibu tawala Wilaya ya karatu Ndg. Bahati Mfungo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Karatu katika maadimisho ya Siku ya lishe na Afya yalio adhimishwa katika Kata ya Mbulumbulu kijiji cha Slahhamo.

Amesema wilaya imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupunguza matokeo mabaya yatokanayo na ukosefu wa lishe bora kama vile vifo wakati wa kujifungua, kupungua kwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza pamoja na udumavu .

Aidha Ndg. Mfungo ametoa rai kwa wananchi kuendelea kuitikia wito wa maadhimisho hayo na kuendea kufata maelekezo ya wataalamu kuhusu afya ya lishe huku akisisitiza kuhusu utoaji wa Elimu kwa Jamii.

Kwa upande wake Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Ndg. Hamza Afisa Elimu Sekondari amesema halmashauri ya Wilaya ya karatu imetenga fedha za kuratibu zoezi la lishe kama ilivyo elekezwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • TANGAZOLA KUITWA KWENYE USAILI September 04, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA VIJINI YALETA MATOKEO CHANYA KARATU

    August 30, 2025
  • WANANCHI WAHAMASISHWE KUSHIRIKI KUPIGA KURA

    September 03, 2025
  • MAAFISA UANDIKISHAJI WALA KIAPO KARATU

    May 14, 2025
  • DED HOKORORO ASHIRIKI KIKAO CHA ALAT WILAYA YA MERU

    May 15, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa