• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

MAAFISA UANDIKISHAJI WALA KIAPO KARATU

Posted on: May 14th, 2025

Maafisa Uandikishaji Wasaidizi na Waendesha vifaa vya Biometriki wa Daftari la kudumu la mpiga Kura awamu ya pili wamekula kiapo leo Mei 14,2025 Mbele ya Afisa Uandikishaji Jimbo la Karatu Eng. Alexander Safari.

Awali kufungua semina ya Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura awamu ya Pili Ndg. Juma Hokororo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu amewataka maafisa hao kufanyabkqzi kwa weledi na kuishi viapo Vyao.

Aidha amewataka kutunza kwa makinivifaa vinavyotumika katika utekelezaji wa zoezi hilo la uchaguzi na kuepuka uharibifu au upotevu utakao sababisha zoezi hili kutofanikiwa kama ilivyo tarajiwa.


Kufuatia Zoezi la uboreshaji wa Daftari la mpiga Kura awamu ya pili ambalo litaanza Tarehe 16 hadi 22 Mei 2025 Afisa Mwandikishaji Jimbo la karatu Bw. Alexander amewataka Maafisa hao kufanya kazi kwa kufuata taratibu na Kanuni za tume huru ya Taifa ya Uchaguzi na kuepuka awavunji Sheria.


Maafisa Uandikishaji Hao wameapishwa na Mwanasheria Wa Halmashauri Wakili Mussa Makindija ambe kabla ya kuwaapisha ametoa funzo endapo watakwenda kinyume na kiapo hicho.


Uchaguzi wa Mwaka 2025 unaongozwa na Kaulimbiu Isemayo “”JITOKEZE KUSHIRIKI

UCHAGUZI WA MWAKA 2025 KWA AMANI NA UTULIVU”

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI 2024 May 11, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UANDIKISHAJI WALA KIAPO KARATU

    May 14, 2025
  • DED HOKORORO ASHIRIKI KIKAO CHA ALAT WILAYA YA MERU

    May 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA AWAMU YA TATU WATUA KARAU

    May 12, 2025
  • KARATU WASAPOTIJUHUDI ZA RAIS SAMIA WATANGAZA UTALII WA NDANI

    May 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa