• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

MKAZO WAWEKWA UKAMILISHWAJI WA UJENZI WA MIUNDO MBINU

Posted on: September 5th, 2020

NA TEGEMEO KASTUS

Mkuu wa wilaya ya Karatu Mh. Abbas Kayanda ametembelea na kujionea maendeleo ya ujenzi wa madarasa katika  shule ya Mpya ya sekondari Eyasi na ujenzi wa madarasa katika shule ya sekondari Domel. 

 Mh. Kayanda ametoa maelekezo kwa watendaji kuhakikisha ujenzi wa majengo unakamilika ndani ya muda uliowekwa na  kuhakikisha  ujenzi wa majengo unaendana na thamani ya fedha iliyotolewa.  Shule mpya ya sekondari Eyasi ambayo ujenzi wa madarasa mawili unaendelea , ujenzi wake unafanyika kwa nguvu za wananchi na tayari Halmashauri imeshatoa kiasi cha million 10.

Mh. Abbas Kayanda (kulia) akiwa katika eneo linalojengwa madarasa shule ya sekondari Eyasi.

Katika shule ya sekondari Domel ambayo Madarasa na Bweni yanajengwa kwa fedha za serikali kupitia EP4R. Tayari uchimbaji wa msingi umefanyika na kusanyaji wa mawe umefanyika, Mh, Kayanda ameelekeza watendaji kuhakikisha ujenzi huo unakamilika ndani ya muda wa siku tisini uliotolewa na serikali.

Mh. Abbas Kayanda akiwa katika jengo la choo linaloendelea kukarabatiwa katika mnada wa Qangnded.

Katika ziara hiyo Mh. Kayanda ametembelea ujenzi wa  machinjio ya Mang’ola barazani inayoendelea kujengwa. Ujenzi wa machinjio hayo unatarajiwa kukamilishwa ndani ya muda wa siku saba. Mh. Kayanda ametembelea na kujionea ukarabati wa ujenzi katika choo cha Qangdend mnadani, maliwato ambayo  awali yalikuwa yametelekezwa bila uangalizi wa viongozi wa kijiji. Maliwato hayo yanaendelea kufanyiwa ukarabati na tayari uongozi wa kijiji umeweka Mlinzi kusimamia usalama wa choo katika eneo hilo la mnadani.

Matangazo

  • WALIOCHANGULIWA KIDATO CHA KWANZA - 2023, HALMASHAURI YA KARATU December 14, 2022
  • LAKE EYASI CULTURAL TOURISM PROGRAM NEW ENTRY FEE December 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA 111 NA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA 11 May 07, 2021
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MIAKA (61) YA UHURU MKUU WA WILAYA YA KARATU MHE DADI HORICE KOLIMBA AFUNGUA MDAHALO WA MAENDELEO WILAYA YA KARATU.

    December 09, 2022
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA UHURU WA TANGANYIKA

    December 09, 2022
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA UHURU WA TANGANYIKA

    December 09, 2022
  • LAKE EYASI CULTURAL TOURISM TO BE IMPROVED

    November 08, 2022
  • Angalia Zote

Video

NDUGU. EDWARD MAURA MWENYEKITI WA BARAZA LA WAFUGAJI NGORONGORO
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754266833

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa