• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

MKURUGENZI ATEMBELEA SOKO LA KARATU

Posted on: May 20th, 2019

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Karatu, ameambatana na watendaji wa Halmashauri kutembelea mradi wa soko unaojengwa. Maradi huo wa soko kwa sasa uko katika hatua ya uwezekaji wa paa.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri Ndugu Waziri Mourice amesema lengo la kutembelea mradi huo ni kujionea ujenzi wa soko hilo. Ambalo amekuta mafundi wakiwa katika hatua za kuweka chuma juu upande wa kwanza wa soko na baada ya hapo wataendelea na upande wa pili wa soko. Ndugu Waziri amesema baada ya hapo wataezeka bati juu. Mkandarasi anafanya kazi kwa mda wa miezi mitatu kwa makubaliano ya kutengeneza nguzo na kuezeka bati. Amesema kwa mwaka wa fedha ujao wataendelea kwa hatua ya kutenga vizimba ndani ya soko. Lengo likiwa ni kuwawezesha wafanyabiashara waliopo nje ya soko kurudi ndani lakini pia kutengeneza vibanda vya chini. Vibanda ambavyo vikimalizika kutengenezwa  vitapangishwa kwa wafanyabiashara na vitatozwa bei ya chini kati ya laki moja na laki moja na nusu.

Ndugu Waziri Mourice ametembelea eneo la jalala pia liliopo sokoni, amesema mazingira ya jalala si mazuri. Amesema uchafu ukiendekelea kubaki pale lilipo linaweza likaleta maradhi kwa wanachi. Amesema Halmashauri inafikiria kujenga jalala la kuweka uchafu nje ya pale lilipo kwa sasa. Kuondoa hali mbaya ya hewa iliopo katika eneo lile ili wananchi waendelee na biashara zao vizuri. Lakini pia kuondoa mbwa wa mtaani wanaozakaa katika jalala hilo la sokoni kujitafutia mabaki ya chakula.


Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Waziri Mourice pamoja na watendaji wakiwa eneo la ujenzi wa soko la Karatu

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI 2024 May 11, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UANDIKISHAJI WALA KIAPO KARATU

    May 14, 2025
  • DED HOKORORO ASHIRIKI KIKAO CHA ALAT WILAYA YA MERU

    May 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA AWAMU YA TATU WATUA KARAU

    May 12, 2025
  • KARATU WASAPOTIJUHUDI ZA RAIS SAMIA WATANGAZA UTALII WA NDANI

    May 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa