• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA KATA YA RHOTIA

Posted on: October 13th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Karatu Mhe. Abbas J. Kayanda amefanya ziara ya kukagua miradi ya Afya na Elimu katika kata ya Rhotia katika ziara hiyo amekagua eneo la ujenzi wa Zahanati ya Rhotia kati lenye ukubwa wa ekari tatu, na kushauri Uongozi wa Kijiji kuzungumza na Mdau aliyewata eneo hilo Ndg.Safari Kwaaqw kuwapa upande unaopakana na barabara kwani si vizuri zahanati kukaa nyuma ya makazi ya watu.

Katika ziara hiyo alitembelea ujenzi wa Zahanati ya Kilima Moja iliyo jengwa kwa nguvu za Wananchi ambayo ipo hatua ya lenta, aliwapongeza Wananchi kwa kujitoa kwao. Katika ziara hiy alimuagiza Mganga Mkuu aingize zahanati hiyo kwenye mpango ili iombewe fedha za umaliziaji.

Pia  katika ziara hiyo alikagua ujenzi wa Maabara ya Biologia shule ya Sekondari Kilimatembo ambao ulipata tsh 40mil kwa maksio mradi unaweza kukamilika kwa tsh 30mil fedha nyingine zitakazobaki zitumike kwenye maabara nyingine lengo la Serikali ni kukoa fedha. Mkuu wa Wilaya alionyesha kuridhishwa na hali ya ujenzi unaoendelea pia alishauri fedha hizo zitumike vizuri, maabara hiyo itakamilika tarehe 30/10/2021.


Mkuu wa Wilaya Mhe. Abbas J. Kayanda katikati akiwa ameambatana na Mkuu wa Shule Hubert Mmbaga na Mtendaji wa Kata Sillo Dirangw wakielekea kukagua ujenzi wa Maabara.



Ndugu Manase Mushi akimwakilisha Mganga Mkuu Wilaya akifafanua jambo kwenya ziara ya Mkuu wa Wilaya.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI 2024 May 11, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UANDIKISHAJI WALA KIAPO KARATU

    May 14, 2025
  • DED HOKORORO ASHIRIKI KIKAO CHA ALAT WILAYA YA MERU

    May 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA AWAMU YA TATU WATUA KARAU

    May 12, 2025
  • KARATU WASAPOTIJUHUDI ZA RAIS SAMIA WATANGAZA UTALII WA NDANI

    May 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa