• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA KWENYE VYANZO VYA MAJI

Posted on: November 23rd, 2021

Mkuu wa wilaya ya Karatu Mhe Abbas J. Kayanda akiwa ameambatana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya , meneja wa maji wa KAVIWASU Stephen James Siay, Stanley Stephen meneja wa KARUWASA, Eng Mbaraka Kilangai Meneja wa  RUWASA na  Ndugu Simon Garaa Katibu mwenezi Wilaya na mjumbe wa Mkutano wa  mkuu wa CCM Taifa ,alifanya ziara kwenye vyanzo vya maji vya Ngila na Bwawani lengo la ziara hiyo ni kuona hali ya uendeshaji na kuhakikisha wananchi wanapata maji.

Chanzo cha Ngila chenye visima Viwili, kimoja kikiwa na uwezo kuzalisha lita 35,000 kwa saa kingine , lita 10,000 kwa saa, chenye uwezo wa kuzalisha lita 10000 kwa saa kilipata hitilafu ya motor ambacho kinahudumia wakazi wa Kitongoji cha Tloma na NMC tayari motor nyingine ilishapatikana na mafundi wanaendelea na zoezi la kurudisha huduma ya maji.

Chanzo cha maji cha Bwawani, chenye visima viwili kila kimoja kina uwezo wa kuzalisha lita 35,000 kwa saa vinafanya kazi vizuri vinahudumia wakazi wa Karatu mjini na Gyekrum Arusha.

Katika ziara hiyo Mkuu wa wilaya ameelekeza operesheni maalum ifanyike ili kubaini watu waliojiunganishia huduma ya maji kiholela ili kuokoa upotevu wa maji. Vilel vile wamewasii Mamlaka za maji kuweka mazingira wezeshi ili wananchi waweze kujiunganishia maji, Mamlaka za maji zijitokeze kutafuta wateja wa huduma ya maji.

Katika ziara hiyo Mkuu wa wilaya ameshukuru kwa hatua za haraka zilizochukuliwa kuhakikisha huduma ya maji kwenye Vitongoji vya Tloma na NMC inarejea.


Mkuu wa Wilaya akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa maji wa KAVIWASU Stephen James Siay


Mkuu wa wilaya wa kwanza mbele akikagua chanzo cha maji cha bwawani



Meneja wa maji Karatu Mjini (KARUWASA) Stanley Stephen akionyesha jambo kwenye ziara ya mkuu wa Wilaya


Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI 2024 May 11, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UANDIKISHAJI WALA KIAPO KARATU

    May 14, 2025
  • DED HOKORORO ASHIRIKI KIKAO CHA ALAT WILAYA YA MERU

    May 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA AWAMU YA TATU WATUA KARAU

    May 12, 2025
  • KARATU WASAPOTIJUHUDI ZA RAIS SAMIA WATANGAZA UTALII WA NDANI

    May 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa