• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA AWAONGOZA WANANCHI KUCHIMBA MSINGI.

Posted on: September 4th, 2018


Mkuu wa wilaya ya Karatu Mhe. Theresia Mahongo  aliwaongoza jana wananchi wa tarafa ya Endabash na watumishi wa Halmashauri kuchimba msingi wa majengo ya kituo cha afya tayari kwa kuanza ujenzi  wa majengo mapya ya wodi ya watoto, wodi  ya kinamama, wodi ya wanaume na jengo la  upasuaji

Katika zoezi hilo aliungana na Mhe, Mbunge Willy Qambalo  Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe Gerson  Mnyenye, Katibu tawala wa Wilaya, Ndg  Abbas Kayanda, Mkurugenzi Mtendaji,Ndg, Waziri .A. Mourice na Wakuu wa idara na vitengo kutoka Halmashauri ambao walishirikiana na wananchi waliojitokeza kuchimba msingi wa majengo hayo ya afya. Kituo hicho cha afya kimepewa million mia nne kutoka serikali kuu kwa ajili ya ukarabati wa majengo ya zamani na ujenzi wa majengo mapya.

Mganga Mkuu wa Wilaya Dkt. Mustafa Waziri amesema majengo mapya yanayotarajiwa kujengwa ni pamoja na Jengo la upasuaji (Theater), Nyumba moja ya mtumishi, Jengo la kufulia (Laundry) Maabara,Wodi ya watoto, na Tanuru la kuchomea taka. Majengo yatakayofanyiwa ukarabati ni wodi ya wanawake, wodi ya wanaume, jengo la mama na mtoto (RCH) na ukarabati wa jengo la wagonjwa wa nje ( O P D) na kuweka mfumo wa maji.

Wananchi wamejitolea kubeba  mchanga Lori arobaini na nane, mawe Lori mia arobaini na saba, kokoto  Lori themanini na sita, na kuchimba msingi wa majengo hayo na serikali wametoa mafuta lita Elfu mbili na nyundo za kupasulia Mawe.  


Matangazo

  • Wasimamizi, Wasaidizi, na Makarani wa Vituo October 06, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI 2024 May 11, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • RC MAKALLA AISHAURI TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI KUFANYA MAAMUZI KWA MKANDARASI BWAWA LA EYASI.

    September 23, 2025
  • WAKULIMA MANG’OLA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA MRADI WA UMWAGILIAJI

    September 23, 2025
  • WENYE SIFA WATAKIWA KUOMBA MIKOPO HALMASHAURI

    September 24, 2025
  • UKUSANYAJI WA MAPATO UNAZIDI KUONGEZEKA KARATU

    September 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa