• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA MHE. DADI KOLIMBA AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUBORESHA SEKTA YA ELIMU

Posted on: March 18th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Karatu Mhe. Dadi H. Kolimba Amemshukuru Rais samia Suluhu Hassan Kwa Kuendelea kuboresha Huduma ya Elimu katika Wilaya ya Karatu na Taifa kwa Ujumla.

Mhe Kolimba Ametoa Shukrani hizo Leo March 18 2024 Katika Hafla fupi ya Utoaji Motisha kwa Waalimu na wanafunzi waliofanya vizuri katika Mitihani ya Taifa 2023 wilayani Karatu. 

"Niendelee Kutumia nafasi hii Kumshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa Kuendelea kuboresha Huduma ya Elimu katika wilaya yetu, tumeona ameendelea kujenga Shule Mpya na Kuboresha Majengo ya zamani Katika shule zetu za Msingi na Sekondari Tunamshukuru sana". Amesema Mhe Dadi.

Amewataka waalimu Wa shule zote za Sekondari na Msingi Kuendelea kuunga mkono juhudi za Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Kwa kusimamia miradi hiyo na kuhakikisha wanazalisha Matokeo mazuri kwa wanafunzi katika shile zote. 

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Karatu Ndg. Juma Hokororo Ametumiq Hafla hiyo kuwahasa wazazi kuwa Mstari wa mbele kuwaunga mkono waalimu na serikali kwa ujumla Katika malezi bora ya watoto.

Amewahasa kushiriki katika shughuli muhimu zitakapo hitajika shuleni Kama vile kuchangia Michango ya Chakula Kushiriki katika vikao tajika shuleni ili kushirikiana pamoja Kufikia Katika malezi na Makuzi bora ya wanafunzi jambo litakalo changia Kuongezeka kwa Ufaulu wa Wanafunzi. 

Nae Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu Afya na Maji Ambae pia ni Diwani wa Kata ya Mhe. Ametoa Wito kwa Waalimu, Wazazi na Jamii kwa Ujumka Kusimamia Watoto/ Wanafunzi katika Janga la utandawazi ambalo ni sababu kubwa inayoweza kusababisha matokeo Mabaya kwa Wanafunzi na shule kwa Ujumla.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • NAFASI ZA KAZI 2024 April 21, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MILIONI 400 ZATOLEWA KARATU, KUJENGA MABWENI NA MADARASA EYASI SEKONDARI

    January 30, 2025
  • WASIMAMIZI WAASWA KUSIMAMIA VIAPO VYAO KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024.

    November 23, 2024
  • JESHI LA AKIBA MKAWE WAZALENDO KWA TAIFA

    November 23, 2024
  • HALMASHAURI YAZINDUA KITABU CHA MPANGO MKAKATI WA UKUSANYAJI MAPATO.

    November 19, 2024
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa