• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA YA KARATU AFANYA ZIARA KWENYE MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: September 29th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Karatu Mhe. Abbas J. Kayanda jana tarehe 28/09/2021 amefanya ziara ya kukagua miradi ya Afya na Elimu katika kata ya Karatu mjini na Endabash,katika ziara hiyo amekagua Ujenzi wa Hospital ya Wilaya na kutoa maelekezo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kumtaka Afisa Manunuzi Wilaya kuhakikisha vifaa vyote vinanunuliwa kwa wakati na kufika eneo husika ili kuongeza kasi ya ujenzi.

Mkuu wa Wilaya ameridhishwa na ujenzi wa Chumba cha Maabara ya Kemia Shule ya Sekondari Quaru katika ziara hiyo amekagua madarasa mawili na Ofisi ambayo yapo hatua ya upauaji na kuwataka waanze kufanya makisio ya fundi na pindi fedha itakapoletwa Tsh 25mil wahakikishe wanaisimamia vizuri.


Mkuu wa Shule Daniel A. Panga akitoa maelezo ya miradi ya Ujenzi kwa Mkuu wa Wilaya.

Gykrum Lambo Sekondari amekagua ujenzi wa choo ambacho kipo hatua ya lenta kinachojengwa kwa utaratibu wa kutumia ‘force Account,kwa lengo la kuokoa fedha za Serikali, kamati ya ujenzi imemuhakikishia ujenzi utamalizika ndani ya siku kumi na tano.

Mkuu wa Wilaya Mhe Abbas J. Kayanda akikagua ujenzi wa shimo la choo G/Lambo Sekondari

Gykrum Arusha Sekondari amekagua ujenzi wa choo matundu 12 ambao upo hatua ya lenta na kumtaka fundi kurekebisha kasoro zilizoonekana ujenzi utakamilika ifikapo tarehe 20/10/2021.

Ujenzi wa chumba cha madarasa mawili na ofisi Shule ya Msingi Gykrum Arusha ambao upo hatua ya jamvi ameridhishwa na ujenzi huo pia ameelekeza umwagiliwe maji ya kutosha ili uimarike vizuri.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI 2024 May 11, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UANDIKISHAJI WALA KIAPO KARATU

    May 14, 2025
  • DED HOKORORO ASHIRIKI KIKAO CHA ALAT WILAYA YA MERU

    May 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA AWAMU YA TATU WATUA KARAU

    May 12, 2025
  • KARATU WASAPOTIJUHUDI ZA RAIS SAMIA WATANGAZA UTALII WA NDANI

    May 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa