• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

MRADI WA BARABARA YA NBC-KUDU

Posted on: June 16th, 2021

Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru Luteni Josephine Paul Mwambashi ametembelea mradi wa barabara ya NBC-KUDU. Katika mradi huo Luteni Mwambashi amehimiza watendaji wa barabara kuendelea kuitunza barabara na kuhakikisha hakuna uharibifu wa miundo mbinu unaojitokeza.

 Mradi wa barabara ya NBC-KUDU unamanufaa ya makubwa hasa katika Kupunguza matengenezo ya mara kwa mara, lakini umesadia huduma mbalimbali za kijamii kufikiwa kwa urahisi, kuboresha mandhari ya mji, kwa kuinua uwekezaji wa Utalii na kuboresha afya za jamii kwa kuondoa vumbi na tope.

Mradi huu wa ujenzi wa mita 600 za barabara ya NBC – Kudu kwa kiwango cha Lami uligharimu Shilingi 316,527,330 ambazo zilitolewa na Serikali Kuu kupitia Mfuko wa Barabara (Roads Fund). Kazi zingine zilizofanyika katika Mradi huu ni ujenzi wa mita 400 kwa ajili ya kupitisha maji ya mvua na Makalvati mawili (2). Mradi huu ulizinduliwa na Kiongozi wa Mwenge wa Uhuru kitaifa tarehe 12/06/2019. Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeendelea kuutunza mradi huu kwa kuutengea fedha za usafishaji wa mitaro na matengenezo madogo yanayohitajika kutokana na matumizi ya Mradi.

Matukio mabalimbali katika picha wakati mwenge ulipotembelea mradi wa barabara

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • NAFASI ZA KAZI 2024 April 21, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA AWAMU YA TATU WATUA KARAU

    May 12, 2025
  • KARATU WASAPOTIJUHUDI ZA RAIS SAMIA WATANGAZA UTALII WA NDANI

    May 11, 2025
  • MILIONI 400 ZATOLEWA KARATU, KUJENGA MABWENI NA MADARASA EYASI SEKONDARI

    January 30, 2025
  • WASIMAMIZI WAASWA KUSIMAMIA VIAPO VYAO KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024.

    November 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa