• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

MRADI WA MAABARA YA COMPUTA

Posted on: June 16th, 2021

Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru Luteni Josephine Paul Mwambashi ametembelea mradi wa maabara ya computa katika shule ya sekondari ya Dr. Wilbroad Slaa. Luteni Mwambashi ametoa rai kwa wanafunzi kutumia vizuri elimu ya computa wanayopata kwa matumizi sahihi badala ya kujihusisha matumizi mabaya.

 Mradi wa maabara ya computa katika shule ya sekondari Dr. Wilbroad Slaa  umesaidia kuwaongezea wanafunzi  maarifa ya msingi ya kompyuta (Basic computer Knowledge). Nakuweza kusaidia ufundishaji wakati upungufu wa vitabu vya kiada na ziada  kwa waalimu na wanafunzi  kwa kuweza kutumia mfumo huru usiotegemea mtandao (Student Offline System Study - SOSS) unaowawezesha wanafunzi kujisomea na kupata nukuu za masomo.

Shule ya sekondari Dr. wilbroad Slaa mwaka huu 2021, imefanikiwa kusajili baadhi ya wanafunzi wa Kidato cha pili watakaofanya mtihani wa Taifa somo la kompyuta. Uendelevu wa mradi huu wa TEHAMA  katika Wilaya yetu ya Karatu ni kutekeleza kaulimbiu ya Mwenge wa Uhuru mwaka 2021 isemayo "TEHAMA ni msingi wa Taifa endelevu, itumie kwa usahihi na uwajibikaji".

Shule ya sekondari Dr. Wilbroad Slaa ilifanikiwa kupokea vifaa mbalimbali ambavyo ni  Kompyuta thelathini na nne, Projector moja, Router moja, Switch moja na Samani zenye thamani ya 21,660,000/= kutoka kwa wahisani wa Ubelgiji chini ya taasisi binafsi ya DORIZON DOENJA na  kubadilisha chumba cha darasa kuwa  maabara ya Kompyuta.

Mwanafunzi wa shule ya sekondari Dr. Wilbroad Slaa akimuonesha kiongozi wa mbio za mwenge ambaye hayupo pichani namna tehama inavyowarahisishia kupata nukuu mbalimbali za masomo

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI 2024 May 11, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UANDIKISHAJI WALA KIAPO KARATU

    May 14, 2025
  • DED HOKORORO ASHIRIKI KIKAO CHA ALAT WILAYA YA MERU

    May 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA AWAMU YA TATU WATUA KARAU

    May 12, 2025
  • KARATU WASAPOTIJUHUDI ZA RAIS SAMIA WATANGAZA UTALII WA NDANI

    May 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa