• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

MRADI WA UJENZI WA JENGO LA MAABARA

Posted on: June 16th, 2021

Jiwe la msingi katika jengo la Maabara katika kituo cha afya Endabash limewekwa na mbio za mwenge  wa uhuru. Kiongozi wa mbio za mwenge Luteni, Josephine Paul Mwambashi amesema gaharama zilizotumika zinaendana na thamani ya jengo. Kiasi cha fedha kilichobakia kwenye bajeti ya ujenzi wa jengo hilo kiendelee kutumika mpaka ujenzi utakapoishia.

Ujenzi huo wa jengo la maabara unatarajia kuhudumia watu elfu sabini na mbili na mia mbili na sitini na nane kwa kupata huduma nzuri za vipimo mbali mbali ikiwa  ni pamoja na kuwaondolea usumbufu wa kusafiri umbali mrefu hadi mjini Karatu kutafuta vipimo.  Pia kukamilika kwa mradi huo kutasaidia uongozi wa Kituo kuweza kutunza na kuhifadhi vifaa na vitendanishi vitakavyokuwa vinatumika kwa ajili ya kuendesha kitengo hiki cha maabara.

Hadi sasa ujenzi wa jengo la Maabara umefikia hatua ya umaliziaji. Kati ya Tshs. 41,540,000/= zilizotolewa na kupokelewa kutoka Serikali Kuu, hadi sasa zimetumika jumla ya Tsh 28,701,997.50 ambapo Tsh 22,222,997.50 zimetumika kununua vifaa vya ujenzi, na Tsh 6,479,000.00 ni gharama za ufundi. Fedha zilizobaki ni kiasi cha Tshs 12,838,002.50, ambapo Tsh 4,317,002.50 zitatumika kwa ajili ya kulipia vifaa vya ujenzi na Tsh 8,521,000 zitatumika kulipia mafundi na zuio la gharama za ufundi (retention fee) kwa hatua zilizokamilika.

Aidha aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Idd Hassan Kimanta alichangia kwa kutoa bati 65 na misumari kilo 20 zenye thamani ya Tsh 1,920,000 Vile vile wananchi walichangia nguvu kazi zenye thamani ya Tsh. 5,100,000 ikiwa ni kuchimba msingi, kubeba mchanga, kokoto,moram na mawe.

Halimashauri ya wilaya ya Karatu imesaidia katika kutoa wataalam kwa ajili ya usimamizi wa mradi huo ikiwemo kuwawezesha posho zao. Kutumia magari yake kwenye huduma mbalimbali kama kusafirisha wataalamu wake kwenda kwenye mradi ambayo ilihitaji mafuta.

Jengo la maabara katika kituo cha afya Endabashi lilowekewa jiwe la msingi

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • NAFASI ZA KAZI 2024 April 21, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MILIONI 400 ZATOLEWA KARATU, KUJENGA MABWENI NA MADARASA EYASI SEKONDARI

    January 30, 2025
  • WASIMAMIZI WAASWA KUSIMAMIA VIAPO VYAO KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024.

    November 23, 2024
  • JESHI LA AKIBA MKAWE WAZALENDO KWA TAIFA

    November 23, 2024
  • HALMASHAURI YAZINDUA KITABU CHA MPANGO MKAKATI WA UKUSANYAJI MAPATO.

    November 19, 2024
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa