• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

MWENGE WATEMBELEA OFISI YA KIJIJI

Posted on: June 12th, 2019

Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa Ndugu Mzee Mkongea Ali ametembelea mradi wa ofisi ya kijiji cha Huduma kuona uendelevu wa mradi uliozinduliwa na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2018 Ndugu Charles Francis Kabeho.

Ndugu Mzee Mkongea amesema ofisi inahitaji kuwekwa kifuniko katika chemba ya kutoa maji, amehimiza pia ofisi kuwa na daftari la taarifa za mahudhurio. Ndugu Mkongea amesema ni vyema kuwepo na daftari maalumu la kuomba ruhusa kwa wafanyakazi, lakini amehimiza pia ofisi kuwa na mafaili ya kuhifadhi kumbukumbu mbalimbali za ofisi. Ndugu Mkongea  ameridhishwa na uendelevu wa mradi amesema ofisi ina  miundo mbinu mizuri. Viongozi wa mwenge walishiriki kupanda miti katika eneo la mbele ya ofisi.




Ndugu Mzee Mkongea Alli akipanda miti mbele ya ofisi ya kijiji cha Huduma.

Ujenzi wa ofisi hiyo ulianza mwezi Januari 2016 na kukamilika agosti 2019. Ujenzi wa ofisi hiyo umegharimu  shilingi 64,312,000 ambazo mchango wa serikali kuu ni shilingi  3,000,000 na Halmashauri ya wilaya shilingi 4,454,00, wadau wa maendeleo shilingi 7,918,00 na wananchi kupitia kaya 306 walichangia shilingi 48,940,000. Ofisi inavyumba saba vya ofisi kwa ajili ya wataalamu mbalimbali wanaotoa huduma na ukumbi mmoja wa mikutano.

Matangazo

  • Wasimamizi, Wasaidizi, na Makarani wa Vituo October 06, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI 2024 May 11, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • RC MAKALLA AISHAURI TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI KUFANYA MAAMUZI KWA MKANDARASI BWAWA LA EYASI.

    September 23, 2025
  • WAKULIMA MANG’OLA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA MRADI WA UMWAGILIAJI

    September 23, 2025
  • WENYE SIFA WATAKIWA KUOMBA MIKOPO HALMASHAURI

    September 24, 2025
  • UKUSANYAJI WA MAPATO UNAZIDI KUONGEZEKA KARATU

    September 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa