• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

TAMASHA LA UTAMADUNI LA URITHI LIMETUKUMBUSHA UTAMADUNI WETU.

Posted on: October 15th, 2018

Tamasha la utamaduni la urithi limefanyika kwa siku tano mfululizo na jana ilikuwa siku ya mwisho kwa wilaya ya karatu. Karatu ndio wilaya pekee iliyopata nafasi ya kuandaa tamasha hilo.  Wahadzabe, Wadatoga, Wairaq na Wamasai walipata nafasi  ya kuonesha ngoma zao za asili, vyakula, mavazi na mapambo ya kitamaduni.

Wageni na Wazawa walivutiwa na ngoma za asili ambazo ziliwakumbusha historia yao ya zamani ya mababu zao namna ya kuishi, kutumia dawa za kienyeji, vyakula asili na vifaa walivyotumia katika shughuli zao za kazi.

Mheshimiwa Theresia Mahongo amewashukuru  wadau wa utalii wajasirimali, wageni  na wananchi kwa kufanikisha  tamasha hilo. Katika hotuba yake ya shukurani  amesema tamasha  la urithi limetukumbusha  kudhamini utamaduni wetu. Tamasha hili litakuwa likifanyika kila mwaka mwezi wa tisa.

Mheshimiwa Theresia amesema nilikuwa  naangalia ngoma ya asili ya wadatoga, mama mmoja akaniambia hao vijana unaowaona wa kiume hawawezi kucheza ngoma mpaka awe ameuwa mnyama. Ndipo  anaruhusiwa  kucheza na mkuki, tunawaita wapiganaji, Mheshimiwa Theresia akasema vijana wa sasa sijui kama wanafahamu kuhusu haya.

Mheshimiwa Theresia  akasema nimepata wasaha wa kualikwa kwenye chakula cha mchana na wadatoga  kama mlivyoona tumekula kwa pamoja. Ni familia ngapi  wanakula na watoto wao ? tumesahau  desturi ya kula pamoja.

Mheshimiwa Theresia  amesema kama mlivyoona pombe  ya kienyeji ya Wadatoga  walianza kuwapa wakina baba na baadae wakina mama wakafuata. Hizo ndio namna zetu za kuishi zamani. Sasa huu ulimwengu wa kuishi  na kununulia watoto wetu simu za kukwaruza ndio zinazosababisha mmonyoko wa maadili.

Matangazo

  • WALIOCHANGULIWA KIDATO CHA KWANZA - 2023, HALMASHAURI YA KARATU December 14, 2022
  • LAKE EYASI CULTURAL TOURISM PROGRAM NEW ENTRY FEE December 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA 111 NA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA 11 May 07, 2021
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MIAKA (61) YA UHURU MKUU WA WILAYA YA KARATU MHE DADI HORICE KOLIMBA AFUNGUA MDAHALO WA MAENDELEO WILAYA YA KARATU.

    December 09, 2022
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA UHURU WA TANGANYIKA

    December 09, 2022
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA UHURU WA TANGANYIKA

    December 09, 2022
  • LAKE EYASI CULTURAL TOURISM TO BE IMPROVED

    November 08, 2022
  • Angalia Zote

Video

NDUGU. EDWARD MAURA MWENYEKITI WA BARAZA LA WAFUGAJI NGORONGORO
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754266833

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa