• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

UFANISI WA BIASHARA: UTATEGEMEA USHIRIKIANO SEKTA BINAFSI NA UMMA

Posted on: June 20th, 2019

Kiongozi wafanyabiashara ndugu Charles Goranga amemshukuru mkuu wa wilaya kwa kuendesha kikao na wafanyabiashara. Kikao hicho cha wafanyabiashara kimehusisha watendaji mbalimbali wa Halmashauri na Kuongozwa na mkuu wa wilaya ya Karatu Mhe. Theresia Mahongo. Katika kikao hicho maswala mbalimbali ya wafanyabiashara yalijadiliwa na kupatiwa ufumbuzi na mengine kuchukuliwa kwenda kufanyiwa kazi.

Ndugu. Charles amesema wilaya ya Karatu ni moja ya wilaya pekee yenye baraza la biashara. Amesema kero nyingi za biashara za kikao cha awali zimeshatambuliwa.  Baraza la biashara  la wilaya litashughulikia kwa kutumia vikundi kazi vya sekta ili  kutatua yale mambo yaliyo katika ngazi ya wilaya. Amesema mambo yote yaliyozungumziwa katika kikao cha leo cha  wafanyabiashara yatapelekwa kwenye vikundi kazi na baadae yataletwa ili kutoa mrejesho ya namna ya kero hizo zilivyoshughulikiwa.

Amesema baraza la biashara likifanya kazi kwa pamoja na sekta binafsi na sekta ya umma kero zote zitatatuliwa. Ndugu Charles ameomba elimu kuendelea kutolewa kwa wafanyabiashara, amesema sekta binafsi imekuwa haidhaminiwi sana. Sekta za umma ni vyombo vienye maamuzi vikifanya maamuzi yake peke yake hata kama sekta binafsi ikipiga kelele hakuna atakayesikia. Ndugu Charles amesema muundo wa baraza umetoa nafasi sawa za wajumbe kutoka sekta binafsi na sekta ya umma. Hivyo kutoa usawa wa utendaji wa kazi, ameomba kuendelea kushirikiana, amesema kama Halmashauri ikitaka kuweka tozo itoe taarifa kwenye baraza la biashara. Ndugu Charles amesema hiyo itasaidia kuondoa migongano lakini itasaidia kutoa elimu kwa wafanyabiashara.

Ndugu Charles amesema baraza la biashara wa wilaya tayari imeshajadili changamoto ambazo zimefanyiwa mapendekezo tayari kwa kuzipelekea kwenye baraza la biashara la mkoa.    Amesema kwenye kujadili changamoto lazima utoe mapendekezo ya chanagamoto hizo ili kufikia muafaka wa pamoja. Kikao cha baraza la mkoa kinatarajiwa kufanyika kati ya tarehe 24/25 mwezi huu.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • NAFASI ZA KAZI 2024 April 21, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MILIONI 400 ZATOLEWA KARATU, KUJENGA MABWENI NA MADARASA EYASI SEKONDARI

    January 30, 2025
  • WASIMAMIZI WAASWA KUSIMAMIA VIAPO VYAO KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024.

    November 23, 2024
  • JESHI LA AKIBA MKAWE WAZALENDO KWA TAIFA

    November 23, 2024
  • HALMASHAURI YAZINDUA KITABU CHA MPANGO MKAKATI WA UKUSANYAJI MAPATO.

    November 19, 2024
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa