• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

UFUATILIAJI WA MIRADI YA EP4R WASHIKA KASI

Posted on: September 23rd, 2020

NA TEGEMEO KASTUS

Kamati ya ulinzi na usalama ya  ikiongozwa na mkuu wa wilaya ya Karatu imetembelea miradi ya EP4R inayojengwa katika tarafa ya Eyasi. Miradi hiyo iko katika hatua tofauti tofauti za ujenzi na inapaswa kukamilika ndani ya kipindi cha miezi mitatu.

Mkuu wa wilaya ya Karatu Mh. Abbas Kayanda amewataka wakandarasi kuzingatia muda uliotolewa wa ujenzi wa  miundo mbinu ya elimu katika shule hizo. Katika ziara hiyo Mh. Kayanda ametembelea shule ya Msingi Endamaghan ambayo kuna ujenzi wa madarasa mawili na ujenzi wa matundu 20 kumi ya wavulana na 10 ya wasichana vinavyojengwa kwa nguvu za wananchi pamoja na serikali. Katika ziara hiyo Mh. Kayanda alitembelea shule ya msingi Qangdend ambayo ina mradi wa ujenzi wa madarasa mawili.

Mh. Abbas Kayanda akikagua  ujenzi wa Msingi wa  bweni katika  sekondari ya Domel

Mh. Kayanda ametembelea na kujione ujenzi wa bweni la wasichana Mang'ola sekondari linalojengwa kwa fedha za EP4R pamoja na bweni katika sekondari ya Domel.  Sambamba na kutembelea ujenzi wa mabweni amekagua ujenzi wa madarasa mawili katika shule ya sekondari Domel yanayojengwa kwa fedha za EP4R na ujenzi wa matundu sita ya choo. Mh. Kayanda amehimiza watendaji kuhakikisha ujenzi wa majengo hayo unaendana na thamani ya fedha zilizotolewa.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • NAFASI ZA KAZI 2024 April 21, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MILIONI 400 ZATOLEWA KARATU, KUJENGA MABWENI NA MADARASA EYASI SEKONDARI

    January 30, 2025
  • WASIMAMIZI WAASWA KUSIMAMIA VIAPO VYAO KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024.

    November 23, 2024
  • JESHI LA AKIBA MKAWE WAZALENDO KWA TAIFA

    November 23, 2024
  • HALMASHAURI YAZINDUA KITABU CHA MPANGO MKAKATI WA UKUSANYAJI MAPATO.

    November 19, 2024
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa