• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

UJENZI WA MIRADI YA MAENDELEO UENDANE NA THAMANI YA FEDHA

Posted on: August 7th, 2020

NA TEGEMEO KASTUS

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rusha TAKUKURU wilayani Karatu, kufanya uchunguzi wa jengo la choo Mnada wa Qangdend. Uchunguzi huo unalenga kujiridhisha kama  thamani ya miundo mbinu inaendana na kiasi fedha kilichotolewa katika ujenzi wa maliwato hayo.

Maelekezo hayo yametolewa na Mkuu wa wilaya ya Karatu Mh. Abbas Kayanda baada ya kufanya ziara katika eneo hilo la maliwato. Ameelekeza uongozi wa kijiji kabla ya taraehe 5 mwezi wa tisa, kuhakikisha ukarabati wa milango na madirisha ambayo haipo iwe imewekwa na jengo hilo lianze kulindwa ili miundo mbinu hiyo iwe katika hali ya usalama. Ujenzi wa Maliwato hayo una kadiriwa kugharimu Halmashauri kiasi cha shilingi Million 8. Baada ya ujenzi jengo hilo lilikabidhiwa uongozi wa Halmashauri ya kijiji cha Qangdend ili waweze kulisimamia na kuliendeleza.

Mkuu wa wilaya ya Karatu Mh. Abbas Kayanda (kulia) akikagua ujenzi wa madarasa unaoendelea shule ya sekondari Domel.

Mh. Kayanda ametembelea ujenzi wa madarasa mawili ya shule ya sekondari Domel pamoja na Ofis ya Walimu ambayo ameelekeza mpaka kufikia tarehe 20 mwezi huu ujenzi wake uwe umemalizika.  Madarasa hayo yanajengwa kwa nguvu za  wazazi.

Mh. Abbas Kayanda akikagua kifuniko cha juu cha tanki la kuhifadhia maji.

Mh. Kayanda ametembelea ujenzi wa bweni linalojengwa na Tasaf katika shule ya sekondari ya Qangdend na kujionea maendeleao ya ujenzi. Mh. Kayanda ameelekeza Mratibu wa Tasaf wilaya kuhakikisha  mradi unakamilika kwa mujibu wa Mkataba.

Mh. Kayanda ametembelea pia ujenzi wa eneo la kunyweshea mifugo, mradi  bado uko kwenye hatua za ukamilishaji wa ujenzi, umejengwa katika eneo la Qangdend. Mradi huo ukikamilika utasaidia wananchi wa Qangdend kupata sehemu ya kunyweshea mifugo. Mh kayanda amesisitiza kwamba miradi yote inayojengwa ni lazima iendane na thamani ya fedha iliyotolewa.

 

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • NAFASI ZA KAZI 2024 April 21, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MILIONI 400 ZATOLEWA KARATU, KUJENGA MABWENI NA MADARASA EYASI SEKONDARI

    January 30, 2025
  • WASIMAMIZI WAASWA KUSIMAMIA VIAPO VYAO KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024.

    November 23, 2024
  • JESHI LA AKIBA MKAWE WAZALENDO KWA TAIFA

    November 23, 2024
  • HALMASHAURI YAZINDUA KITABU CHA MPANGO MKAKATI WA UKUSANYAJI MAPATO.

    November 19, 2024
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa