• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

VIBANDA VYA BIASHARA KUTOZWA KODI FLAT RATE

Posted on: February 23rd, 2021

Na Tegemeo Kastus

Vibanda mia mbili na thelathini na saba vilivyo katika eneo la soko kuu vitarudishwa Halmashauri ifikapo mwezi wa sita baada ya makubaliano ya mkataba kati ya Halmashauri na wananchi waliopangishwa vibanda hivyo kuisha.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya karatu ndg. Waziri Mourice wakati wa kikao cha baraza la bajeti ya mwaka ujao wa fedha. Amesema  mikakati iliyojiwekea Halmashauri katika kukusanya mapato ni pamoja na kuweka kodi ya vibanda yenye uwiano sawa kwa vibanda vyote vinavyozunguka soko la Karatu. Kodi hiyo inatarajiwa kuanza kutozwa mwaka ujao wa fedha kadri itakavyoafikiwa kwenye kamati na baadae kupitishwa kwenye baraza. Amesema hali jinsi ilivyo; wafanyabiashara wenye vibanda 28 vya Mabucha wanalipa kodi tofauti na watu waliopanga katika vibanda 237 visivyo vya  mabucha. Amesema mkataba walioufikia na Halmashauri wa kuendeleza vibanda 237vinavyozunguka soko ambao wanatozwa bei taafifu zaidi unaisha mwezi wa sita mwaka huu.

Amesema uwiano wa bei ya vibanda utaenda sawa hata kwa vibanda vipya vinavyoendelea kujengwa katika eneo la soko la Karatu. Amesema lengo ni kutoa uwiano sawa kwa wananchi wote wenye uhitaji wa kupangisha vibanda vya Halmashauri.

Ndg. Mouice amewapongeza madiwani kwa ushirikiano waliouonesha katika kupitisha bajeti ya mwaka ujao wa fedha elfumbili na ishirini  na moja, elfu mbili na ishirini na mbili. Amesema ni bajeti nzuri yenye vipaombele vienye kulenga kupeleka maendeleo kwa wananchi. Amesema watendaji wa Halmashauri wanawategemea waheshimiwa madiwani katika kuendesha shughuli za kila siku ndani na nje ya Halmashuri. Amesema jukumu kubwa la watendaji wa Halmashauri ni kuwashauri waheshimiwa madiwani.

Madiwani wakiwa katika kikao cha baraza cha kupitisha bajeti ya mwaka ujao wa fedha.

Naye Mh. Lolo Diwani wa Karatu ametoa ushauri vyumba 237 vya vibanda vya Halmashauri vinavyozunguka eneo la soko kodi yake iwe shilingi elfu hamsini kwa mwezi. Amesema lengo la kutoza kodi hiyo ni kusadia wananchi wanaofanya biashara katika  vibanda hivyo. Amesema vibanda vya mabucha viendelee na kodi ya pango wanayolipa kwa sasa. Amesema lengo la kutoza kodi kwa kiwango hicho ni kupunguza malalamiko kutoka kwa wananchi.


Watendaji wakiwa katika kikao cha baraza ya kupitisha bajeti

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI 2024 May 11, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UANDIKISHAJI WALA KIAPO KARATU

    May 14, 2025
  • DED HOKORORO ASHIRIKI KIKAO CHA ALAT WILAYA YA MERU

    May 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA AWAMU YA TATU WATUA KARAU

    May 12, 2025
  • KARATU WASAPOTIJUHUDI ZA RAIS SAMIA WATANGAZA UTALII WA NDANI

    May 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa