• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

WAFANYABIASHARA: MUACHE KUJAZA MAGUNIA RUMBESA

Posted on: April 9th, 2019

Mafunzo ya kuwajengea uwezo wajasiriamali yamefunguliwa leo na Mkuu wa wilaya ya Karatu Mhe. Theresia Mahongo katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Karatu. Mafunzo hayo ya siku moja yameendeshwa na kituo cha uwekezaji kanda ya kaskazini.

Mhe. Theresia amesema ipo nafasi ya uwekezaji wa kilimo, Karatu wananchi wanalima maua, mahindi, mbaazi vitunguu na matunda. Mhe. Amesema kuna fursa ya uwekezaaji wa  kilimo cha mboga za majani, wawekezaji wa Hotel wananunua mboga za majani Arusha. Amesema amehamasisha kilimo cha alzeti wilayani Karatu, na kuna viwanda vidogo vidogo vya alzeti 12 lakini alzeti haitoshi. Viwanda huwa vinafungwa ikifika mwezi wa tisa kwa sababu ya kukosa malighafi, alizeti nyingi inanunuliwa kutoka singida.

Mhe Theresia amesema kuna zao la vitunguu Mang’ola, tumewekeza  kwenye ghala ili vitunguu viongeze thamani kwa mkulima. Ghala limejegwa na serikali kwa gharama ya billion 1.5, lakini wanaoweka vitunguu ni watu kutoka Kenya. Soko la vitunguu Mang’ola limewekwa ili kusaidia wakulima wanufaike na bei ya zao la vitungu, ni vyema wananchi walitumie Ghala hilo. Vitunguu viuzwe kwenye ujazo unaotakiwa, amesema tabia ya kujaza rumbesa imerejea tena wafanyabiashara wanaofanya hivyo waache mara moja. Kufanya hivyo ni kuwanyonya wakulima, Mhe. Theresia amewaelekeza watu wa vipimo soko la Ngarenaro katika kikao cha ushauri wa mkoa juu ya adha hiyo. Amesema vitungu vinaweza kuongezwa thamani zaidi kwa kuweka grade na kuvifanyia sorting. Mhe. Theresia ameomba watu kuwekeza kwenye kilimo cha vitungu.  Tarafa ya eyasi kuna  fursa ya kilimo cha umwagiliaji na serikali imeweka mpango wa kujenga visima ili kuendeleza kilimo cha umwagiliaji.

Mhe. Theresia amesema kuna fursa nzuri ya kuwekeza kwenye mbaazi, tulime mbaazi na tuanzishe viwanda vya mbaazi. Mbaazi hutumika kutengeneza biskuti, mbaazi inaweza kuongeza thamani kwa kutengeneza vitu vingine vinavyotegemea mbaazi. Hasa wakati huu ambao soko la mbaazi nchini India  halipo.

Mhe. Theresia amesema kuna samaki kutoka ziwa Eyasi wanapatikana samaki watamu sanaa. Kuna wakati ziwa linapungua wanabaki samaki wadogo na magadi  samaki hao ni rahisi kuwapata pia ni  wazuri sana, ni fursa kwa  muwekezaji kuwekeza kwenye chakula cha mifugo.

Mhe. Theresia amesema kuna kahawa iliyo bora first class inayopatikana Karatu, wananchi wa Burger wamehamasika kuanza kulima kilimo cha kahawa. Amesema wakulima wakubwa wanatoa mbegu za kahawa bure kwa wakulima wadogo. Amesema kahawa yetu inalimwa katika nyanda za juu, ndio maana inakuwa ina ladha nzuri. kahawa siyo tu kwa ajili ya kuuza nje inaweza ikatumiwa kwa matumizi yetu nyumbani. Mhe Theresia amesema ni vyema wakulima wakubwa wakawekeza kwenye viwanda vikubwa vya kahawa.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • NAFASI ZA KAZI 2024 April 21, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MILIONI 400 ZATOLEWA KARATU, KUJENGA MABWENI NA MADARASA EYASI SEKONDARI

    January 30, 2025
  • WASIMAMIZI WAASWA KUSIMAMIA VIAPO VYAO KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024.

    November 23, 2024
  • JESHI LA AKIBA MKAWE WAZALENDO KWA TAIFA

    November 23, 2024
  • HALMASHAURI YAZINDUA KITABU CHA MPANGO MKAKATI WA UKUSANYAJI MAPATO.

    November 19, 2024
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa