• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI WAHAMASISHWE KUSHIRIKI KUPIGA KURA

Posted on: September 3rd, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla amekutana na kuzungumza na Wakuu wa Idara, Maafisa Tarafa, Watendaji wa Kata, Watendaji wa Vijiji na Mitaa pamoja na Wenyeviti wa serikali za Vijiji na Mitaa ya Wilayani Karatu Mkoani Arusha, akiwaagiza kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.

Mhe. Makalla katika hotuba yake amesisitiza kuwa kupiga kura ni haki ya Kikatiba kwa kila mwananchi mwenye sifa, akiwahakikishia usalama wa kutosha wananchi wa Wilaya ya Karatu na Mkoa mzima wa Arusha wakati wa kampeni, wakati wa uchaguzi Mkuu na baada ya uchaguzi.

Aidha Mhe. Makalla pia amewasisitiza Viongozi hao kuendelea kutimiza majukumu yao ipasavyo ikiwa ni pamoja na kushughulika na kero za wananchi na kujiepusha kuwa chanzo cha migogoro katika maeneo yao.

“Tuendelee kutatua kero za wananchi, katika hili kuna mahali pengine utawapelekea wananchi kila kitu, wanaona umeme, maji, vituo vya afya na wanakuambia kero yetu moja tu hapa, hatusomewi taarifa za mapato na matumizi kwahiyo Wenyeviti nawakumbusha kusoma ripoti za mapato na matumizi, msiposoma ni kero kwa wananchi na inawarudisha nyuma kwenye hamasa katika kushiriki shughuli za maendeleo.” Amesema Mhe. Makalla.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • TANGAZOLA KUITWA KWENYE USAILI September 04, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA VIJINI YALETA MATOKEO CHANYA KARATU

    August 30, 2025
  • WANANCHI WAHAMASISHWE KUSHIRIKI KUPIGA KURA

    September 03, 2025
  • MAAFISA UANDIKISHAJI WALA KIAPO KARATU

    May 14, 2025
  • DED HOKORORO ASHIRIKI KIKAO CHA ALAT WILAYA YA MERU

    May 15, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa