• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Complains |
Karatu District Council
Karatu District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dhamira na Dira
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
  • Miradi
    • TASAF
    • BOOST
  • Machapisho
    • Hali ya Uwekezaji
      • Business License Form
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha

ZIARA ZA MIRADI ZALETA MWIITIKIO CHANYA

Posted on: September 30th, 2020

NA TEGEMEO KASTUS

Ziara za mkuu wa wilaya ya Karatu kutembelea ujenzi wa miundo mbinu ya elimu na afya inayoendelea katika maeneo mbalimbali imeanza kuleta matokeo chanya. Baada ya mradi wa afya Sumawe uliokuwa umetelekezwa kwa kipindi cha miaka tisa kukamilika.

Hayo yamebainika wakati wa ziara ya Mkuu wa wilaya ya Karatu Mh. Abbas Kayanda alipotembelea zahanati ya Sumawe Mjini Karatu ambayo awali ujenzi wake ulikuwa umesimama. Mh.Kayanda ametoa maelekezo kwa kamati ya ujenzi wa zahanati hiyo kuhamisha nguvu katika ujenzi wa choo ili zahanati  iweze kukamilika na kuanza kufanya kazi. Katika ziara hiyo Mkuu wa wilaya alitembelea kituo cha afya Endabash kukagua maendeleo ya ujenzi wa Maabara ambayo imefikia hatua ya kuweka kenchi. Ujenzi huo unajengwa kwa mapato ya ndani ya Halmashauri na ujenzi wa maabara ukikamilika utasaidia kituo hicho cha afya kuanza kutoa huduma ya upasuaji.

Muonekano wa zamani wa jengo la zahanati ya Sumawe

Muonekano wa sasa wa zahanati ya Sumawe

Wakati huo huo Mh. Kayanda amtembelea ujenzi wa madarasa matatu sekondari ya Florian na ujenzi wa madarasa mawili katika shule ya sekondari ya Qaru pamoja na choo. Ujenzi huo unatarajia kufikia katika hatua ya lenta  ifikapo jumamosi. Katika shule ya Msingi Bwawani Mh. Kayanda  amekagua hatua zilizofikiwa katika ujenzi wa madarasa matatu pamoja na eneo ambalo linatarajiwa kujengwa choo na S/M Gyekrum  amekagua ujenzi wa madarasa mawili fedha zote  zimetolewa na serikali kupitia EP4R.

Mh.kayanda amehimiza wakandarasi kuzingatia muda wa ukomo wa kumaliza miradi  uliowekwa na serikali lakini pia kuhakikisha ujenzi wa majengo unaendana na thamani ya fedha zilizotolewa ikiwa ni pamoja na kuweka madawati.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa kidoto cha pili January 07, 2024
  • Halmashauri ya Wilaya ya Karatu Uchaguzi wa Wanafunzi wa kidato cha kwanza, 2024 December 18, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Nne January 07, 2024
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI 2024 May 11, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UANDIKISHAJI WALA KIAPO KARATU

    May 14, 2025
  • DED HOKORORO ASHIRIKI KIKAO CHA ALAT WILAYA YA MERU

    May 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA AWAMU YA TATU WATUA KARAU

    May 12, 2025
  • KARATU WASAPOTIJUHUDI ZA RAIS SAMIA WATANGAZA UTALII WA NDANI

    May 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

DC KOLIMBA ATATUA KERO TARAFA YA EYASI KARATU
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fursa za Uwekezaji

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Wizara ya Fedha na Mipango
  • Jamvi la Habari
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karatu District Council

    Sanduku la Posta: P.O Box 190

    Simu: +255 272970648

    Simu ya Mkononi: 0754773947

    Barua Pepe: ded@karatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.Haki zote zimehifadhiwa