Posted on: May 1st, 2019
Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi yamefanyika kwa maandamano ya amani na kupokelewa na Mhe. Theresia Mahongo Mkuu wa wilaya ya Karatu katika uwanja wa mazingira bora. Kauli mbiu ya maadhimisho ...
Posted on: April 30th, 2019
Kikao cha baraza la madiwani kimeendelea kwa siku ya pili leo, na kimejadili taarifa mbalimbali za kamati. Kikao kimefanyika katika ukumbi wa Halmashauri na kuongozwa na Mwenyekiti wa Halmashaur...
Posted on: April 29th, 2019
Kikao cha kawaida cha baraza la madiwani kimekaa leo katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Karatu. Kikao hicho cha robo ya tatu ya mwaka kimeongozwa na Mwenyekiti wa baraza la madiwani Mhe. Jublat...